Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Ukifuata hii menu ninafikiri hutoweza tena kuumwa maradhi yoyote yale.
Kitunguusaumu.
Asali
Na kila siku kula punje moja ya kitunguusaumu kabla ya kula kitu na uwe unakunywa asali kijiko kimoja kila siku asubuhi na usiku Asali safi mbichi ya nyuki inasaidia kusafisha ini na figo,na uwe unatembea kila siku kwa miguu karibu kilomita 5 ninakuapia kwa Mwenyeezi Mungu hutaumwa katika maisha yako fanyeji hivyo Wabongo mutaepukika Maradhi katka maisha yenu asanteni.
Kitunguusaumu.
Asali
Na kila siku kula punje moja ya kitunguusaumu kabla ya kula kitu na uwe unakunywa asali kijiko kimoja kila siku asubuhi na usiku Asali safi mbichi ya nyuki inasaidia kusafisha ini na figo,na uwe unatembea kila siku kwa miguu karibu kilomita 5 ninakuapia kwa Mwenyeezi Mungu hutaumwa katika maisha yako fanyeji hivyo Wabongo mutaepukika Maradhi katka maisha yenu asanteni.
