Wakuu Wenzangu wa JF Nimefiliwa na Dada yangu Mpenzi hii leo

Wakuu Wenzangu wa JF Nimefiliwa na Dada yangu Mpenzi hii leo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Nawatoleeni salam wakuu wenzangu nimepatikana na msiba wa Dada yangu Mpenzi hapo Dars-salaam Vijibweni nawataarifuni wote ndugu zangu wana JF Dada yangu amefariki hii leo saa saba mchana alikuwa mgonjwa na amefariki kwa Umri wa miaka 57 Mungu amlaze pema peponi kama kuna Mtu atataka kuhudhuruia mazishi awasiliane na kaka yangu anayeitwa MR Abdulkadir namba yake ya simu ni hii 0784751850 na ataje jina langu (Saad) MziziMkavu kwa ajili ya mazishi mimi mwenyewe sipo hapo bongo nipo Ughaibuni sitoweza kuhudhuria mazishi Kiroho nitakuwa nao pamoja wafiwa asanteni sana
 
Pole sana Mzizi, ulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi....Mungu awape nguvu katika kipindi hiki cha msiba
 
Pole besti yangu Mzizi.

Ni kazi ya Mungu, haina makosa, iliyobaki ni kumwombea apate mapumziko mema!
Tuko pamoja sana katika muda huu mgumu kwako, Mungu atakufariji ipasavyo!
 
pole sana mkubwa
may God rest her soul in peace!
 
Pole sana mkuu kazi yamungu haina makosa, tutazidi kumwombea ili mwenyezi mungu aipunzishe roho yake pahali pema peponi
 
Pole sana mpendwa mwenyezi mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi
Amen
 
Mlimpenda lakini Mungu kampenda zaidi.Mwenyezi Mungu aiweke mahali pema pepono roho ya marehemu.Amen
 
Pole sana Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu! kumbuka binadamu sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi..faraja ya bwana ikutangulie..

RIP dear sister!
 
Pole sana
mungu awape nguvu na uvumilivu
tulimpenda sana lakini mwenyewe amempenda zaidi
 
Pole sana mkuu...Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu,marehemu apumzike kwa amani
 
Pole sana Saad pole. Mungu akupe ujasili wa kuishinda huzuni.
 
pole sana! Mungu awape subira wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu! hayo ni mapenzi ya mungu!
 
Mkuu pole sana, mungu atawafariji katika siku hizi za majonzi.
 
Back
Top Bottom