donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Salaam.
Huyu jamaa ni among ma rappers niliokua nawakubali sana back in days hasa ile ngoma yake ya Wengi Walikuepo.
Jamaa alipotea kabisa kwenye tasnia ya mziki and last time iChecked walisema yuko states.
Kwa mwenye ufaham wa huyu jamaa's whereabouts na kama bado anafanya mziki naomba anijuze!
UNACHANA KUMBE???Balozi alikuwepo sasa hivi yuko wapi,yuko wapi.
Wengi walikuwepo sasa hivi wapo wapi.
UNACHANA KUMBE???
usiniambie ww ni dada p...............!!!!!!!!!!!!!!!Hiyo ni fani yangu.
Nlivuma 2000's sasa najipanga kurudi kama kawaida kwa p funk
usiniambie ww ni dada p...............!!!!!!!!!!!!!!!