Wakuuu mlio dar njooni KB tabata bima kuna mziki watoto wanacheza wazuri mtasahau shida.

msomso

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
464
Reaction score
152
Heshima yenu wakuuuu,Mkitaka kustarehe njooni KB tabata bima wakuuuu unakunywa bia kuna watoto wazuri na vijambio vyao wakuuu nilikuwa nimeacha bia mpaka Jana nimeirudia aiseee nimetembea viwanja vingi kuna Merdian ,Mango garden ,Kwetu pazuri,,Toraka uje na Nk but KB paradise kiboko yao wakuuuuu
 
Hatuna shida na kelele za watoto wako wa KB
 
Umepewa bia ya bure nini ufanye promotion?
 
Ndo umepajua leo? chimbo la kitambo hadi pamesahulika. KB enzi hizo hupati pa kukaa watu wamesimama hadi kwenye parking upande wa pili.

Ila ukitaka wauza sukari utawapata hapo mana wamejaa, wanasimama hadi barabarani.
 
Hakuna lolote Zaid ya ufuska tu.
 
 
Ndo umepajua leo? chimbo la kitambo hadi pamesahulika. KB enzi hizo hupati pa kukaa watu wamesimama hadi kwenye parking upande wa pili.

Ila ukitaka wauza sukari utawapata hapo mana wamejaa, wanasimama hadi barabarani.
Sukari tamu jamani hivi kilo moja bei gani?
 
sema hao malaya wa vingunguti a.k.a WAZUNGU wa MANEROMANGO wamejichubua balaa hamna lolote hovyo tu nipo hapa sa hv
 
Ndo umepajua leo? chimbo la kitambo hadi pamesahulika. KB enzi hizo hupati pa kukaa watu wamesimama hadi kwenye parking upande wa pili.

Ila ukitaka wauza sukari utawapata hapo mana wamejaa, wanasimama hadi barabarani.
Mimi nimekula bia mala kibao pale kunawatoto wazuri.
sema hao malaya wa vingunguti a.k.a WAZUNGU wa MANEROMANGO wamejichubua balaa hamna lolote hovyo tu nipo hapa sa hv
Acha uongo mkuuu
 
Haiumizi kichwa kujua wewe ni mwanaume wa wapi

Cc Jimena huyu ni wa wapi?
 
Dunia ya sasa hatari tupu. Unawaalika wenzako kwenye dhambi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…