Umepewa bia ya bure nini ufanye promotion?Heshima yenu wakuuuu,Mkitaka kustarehe njooni KB tabata bima wakuuuu unakunywa bia kuna watoto wazuri na vijambio vyao wakuuu nilikuwa nimeacha bia mpaka Jana nimeirudia aiseee nimetembea viwanja vingi kuna Merdian ,Mango garden ,Kwetu pazuri,,Toraka uje na Nk but KB paradise kiboko yao wakuuuuu
Ndo umepajua leo? chimbo la kitambo hadi pamesahulika. KB enzi hizo hupati pa kukaa watu wamesimama hadi kwenye parking upande wa pili.Heshima yenu wakuuuu,Mkitaka kustarehe njooni KB tabata bima wakuuuu unakunywa bia kuna watoto wazuri na vijambio vyao wakuuu nilikuwa nimeacha bia mpaka Jana nimeirudia aiseee nimetembea viwanja vingi kuna Merdian ,Mango garden ,Kwetu pazuri,,Toraka uje na Nk but KB paradise kiboko yao wakuuuuu
Mwanaume mwingine wa Dar aibukia huku![/QUOT
mwanaume wa Bara huyooo! m'bara mwenzio mwambie aache ushamba!watoto wazuri kaanza kuwaona leo hadi makelele humu..Hivo viwanja ulivovitaja ni sehemu za kawaida tu kwa wanaume wa dar.
Mvua zimeanza fanya aende nyumbani akalime tumechoka mikelele yenu!
Sukari tamu jamani hivi kilo moja bei gani?Ndo umepajua leo? chimbo la kitambo hadi pamesahulika. KB enzi hizo hupati pa kukaa watu wamesimama hadi kwenye parking upande wa pili.
Ila ukitaka wauza sukari utawapata hapo mana wamejaa, wanasimama hadi barabarani.
Mimi nimekula bia mala kibao pale kunawatoto wazuri.Ndo umepajua leo? chimbo la kitambo hadi pamesahulika. KB enzi hizo hupati pa kukaa watu wamesimama hadi kwenye parking upande wa pili.
Ila ukitaka wauza sukari utawapata hapo mana wamejaa, wanasimama hadi barabarani.
Acha uongo mkuuusema hao malaya wa vingunguti a.k.a WAZUNGU wa MANEROMANGO wamejichubua balaa hamna lolote hovyo tu nipo hapa sa hv
Mimi nipo Terabyte...hapa ni noma sasa sijui km Kb na GB mnafikia kwelMimi nipo hapa GB ni hatari hapo KB panasubiri.