tuacheni utani, sisi tunapenda kujifundisha kwa matatizo lakini hatutaki kuyaepuka matatizo, sidhani kama mtoto wa miaka 15 ana experience ya kutosha akamfundisha kijana mwenye 35yrs, na nina uhakika yale waliyokutana wazazi wetu hatujayafikia hata robo, ndo maana ukiwa mdogo ukisikia kua uyaone unakua uhelewi ukisha fika kwenye majukumu ya lazima ndo unatambua maana ya msemo huo,ila kuna sababu kama sababu lakini kama mzazi,mtu mwenye uzoefu tele wa maisha akikuambia kitu mfuatilize,hakuna mzazi anayemtakia mwanaye mabaya na ingekua kama hivyo wazazi wetu wangetu abort(abortion) kabla tujazaliwa, mimi binafsi kuna mwanamke nilimpenda nikapeleka picha kwa mzee kisha yule binti nikampeleka kwa mama,na ktk mahusiano yetu niligombana mpaka na ndugu zangu na mama kisa sitaki kumuacha,nikakubaliwa nimuoe huwezi amini wakati tunafanya process ya posa binti anakuja kunijulisha ndoa yake na bwana mwingine inafungwa next week, ila nilichojifunza mzazi inakua rahisi kumsoma mtu tabia yake in short period more than us,ambao tukishakua in love masikio na ubongo tunautia ganzi wa kutafakari ulichonacho, ila msimamo wangu utakua palepale mzazi hata akimkataa msichana wangu yoyote i will leave her for the sake of my mummy words.