Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
[emoji23][emoji23][emoji23] ndio maeneo yako hapo bucher?Hapana kaka Kimara bucha iyo
Jr[emoji769]
maana mm napitaga eneo hilo mara kwa mara.Hapana... Nilipita tu nikapapenda[emoji1][emoji1][emoji1]
Jr[emoji769]
😂😂😂 kuna swala wa kutosha.Dah.. Hilo eneo mbuga yake imesheheni digidigi wa kutosha.. Nitafanya utalii tenaView attachment 1341063
Jr[emoji769]
Ntaangalia ratiba yangu.Tukutane hapo Jumamosi tufanye utalii wa kikoa
Jr[emoji769]
Nilipitisha mikungu yangu ya ndizi nikaona ngoja nami nipige picha nitupie kwa wanyanyasa bata JF.View attachment 1341501
Hahahahaha!
Dah SA mambo haya kuisha ni kazi sana kwakweli.
Nilipitisha mikungu yangu ya ndizi nikaona ngoja nami nipige picha nitupie kwa wanyanyasa bata JF.View attachment 1341501