Nitachoma hata udi[emoji23][emoji23][emoji23]am sure hunijui
Si bado uko pale pale kwa watalii wanakokuka kutembelea?[emoji23][emoji23][emoji23]am sure hunijui
Mzee anakula bata baada ya kuwa bingwa
Unampenda sana huyu mdudu
Bro leo tuko msibani...leo majonziπMusuli
Jr[emoji769]
Hehheeeh Kama ni sherehe Basi tuanze Asubuhi na mapemaaaMajonzi ya sherehe...[emoji23]
Jr[emoji769]
@wangari maathai kwani ukisema hyo picha umeipigia kwenye meza yangu itakugharimu nini[emoji23][emoji23][emoji23] we si unakunywa lite wewe!Hehheeeh Kama ni sherehe Basi tuanze Asubuhi na mapemaaa
View attachment 1515468
Hureeee Tembo kalala kwa amani...kwetu kifo ni sherehe..kwakuwa kifo ni ushindiHehheeeh Kama ni sherehe Basi tuanze Asubuhi na mapemaaa
View attachment 1515468
Hureeee Tembo kalala kwa amani...kwetu kifo ni sherehe..kwakuwa kifo ni ushindi
Jr[emoji769]
Ahhahaa mie sio underground ninywe lite mkuu,ππ@wangari maathai kwani ukisema hyo picha umeipigia kwenye meza yangu itakugharimu nini[emoji23][emoji23][emoji23] we si unakunywa lite wewe!