Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mkuu unasahauje Bonasera the house of grillKwa weekend hii, burudani za kawaida tu zitaendelea katika viwanja vifuatavyo:
1. Cask kwa wale wapenda disco na sehemu ya wazi.
2. Diamond, hapa kwa wale wapenda mziki wa kukaa zaidi.
3. Maduhu_Square_Garden, hiki ni kiwanja kipya kwa watu wastaarabu na wenye familia zao, kipo mtaa wa Uhur
Ni makoroboi au sehemu inaitwa vitunguu, maeneo ya soko kuu mjini.
chips kavu 1,000 na chips yai ni 2,000 ila hata kwa 1,500 unapata.Bei gani?
Kama hutaki, ila kama unataka raha ni nyingi tu.Mwaka huu hakuna kupata raha sana.
Kila wikiend usiache kupita.uzi mzuri
Lasvegas uchafu wote unaupata, hapo kona ya Bwiru.Wekeni machimbo sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulilielewa swali??chips kavu 1,000 na chips yai ni 2,000 ila hata kwa 1,500 unapata.
Kwan walokole ndo wanacho kip cha tofaut buibui?Pisi kali za kilokole nazipata wapi?
Muulize tena mkuu, usichoke.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulilielewa swali??
uhuru sehem gani bossMuulize tena mkuu, usichoke.
Ccm kirumba stadium
Neno la uzima na hofu ya MunguKwan walokole ndo wanacho kip cha tofaut buibui?
Nipo Mwanza mtu wangu toka jana bahati mbaya nimefika siku ya kazi na leo ni siku ya kazi but mie nimekuja kupumzika so kazi za watu sina habari nazo.Wadau pokeeni salaam kutoka Mwanza,
Huu uzi utakuwa mahususi kwa taarifa mbalimbali kwa wala bata walioko Mwanza hata wageni, unaruhusiwa kuuliza taarifa yoyote itakayokufanya ule bata na kufurahia neema za Mungu zinazopatikana katika jiji hili tamu na zuri.
Karibuni sana.