Wala bata wa Mwanza huu ndio uzi wenu kupata taarifa mbalimbali

Mju
Mkuu unasahauje Bonasera the house of grill
 
Uhuru nlipozaliwa nmepamiss sana mwanza tanzania dah sijui ntarud lini
 
Nipo Mwanza mtu wangu toka jana bahati mbaya nimefika siku ya kazi na leo ni siku ya kazi but mie nimekuja kupumzika so kazi za watu sina habari nazo.
Ebu ni wapi pazuri kwa leo kupata eneo lenye burudani non stop from morning I mean kupiga mitungi ,music kwa mbali,samaki choma,kuna pisi kali hata km nikwakuziangalia tu as long as sina pa kwenda leo natafuta pa kumalizia hizi siku.
Nasema hivi coz jana asubuh nimeenda eneo fulani asubuh nigonge za baridi nikauziwa km bhangi eti huu ni muda wa kazi!!!!Aisee Mza bado inafanya kazi????

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…