GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Unafiki Kwangu ni mwiko kutokana na hii Timu kuwa ni ya Kisiasa zaidi naiombea Mabaya leo na isiende 2025 AFCON.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi natamani ishinde ila kila nikikumbuka maneno ya machawa najikuta natamani ifungwe tuUnafiki Kwangu ni mwiko kutokana na hii Timu kuwa ni ya Kisiasa zaidi naiombea Mabaya leo na isiende 2025 AFCON.
Usinipangie tafadhali.Dah ndugu zangu, mi naona wachezaji ni kama tunawakosea kuwaweka kwenye kikombe kimoja na CCM.
Mi naamini akili zao zinawatuma wanaenda kulipambania Taifa na sio CCM.
Ni kweli CCM miyeyusho ila kuna njia nyingi za kuwaadhibu kuliko kuwaombea mabaya kina Job, Manula, Kapombe, Msuva.
Umeongea kitu,ila wacha kwanza tujifunze.Dah ndugu zangu, mi naona wachezaji ni kama tunawakosea kuwaweka kwenye kikombe kimoja na CCM.
Mi naamini akili zao zinawatuma wanaenda kulipambania Taifa na sio CCM.
Ni kweli CCM miyeyusho ila kuna njia nyingi za kuwaadhibu kuliko kuwaombea mabaya kina Job, Manula, Kapombe, Msuva.
Usijali Ushakuwa mnafki 100%Unafiki Kwangu ni mwiko kutokana na hii Timu kuwa ni ya Kisiasa zaidi naiombea Mabaya leo na isiende 2025 AFCON.
Yees. Hata shetani huwaona wetenda haki ni maadui zake.Usijali Ushakuwa mnafki 100%
HahaaaaUsinipangie tafadhali.
Unakosa Hela ndugu,odds 2.80 ya GineTangu lini demu(kama wanavyoita Vijana wa hovyo) aingie ghetto la msela halafu atoke hivi hivi
Leo hamna hamna, Stars inashinda 2-1 💪
Namwachia Mkuu GENTAMYCINE apige hiyo hela, alisema ataweka 1M ili avune 2.8M 😅Unakosa Hela ndugu,odds 2.80 ya Gine
Anadanganywa sana.Maisha bwana, bi mkubwa 2021 mpaka 2022 alikuwa na upepo sana, abadilishe watu wake wa karibu. Kwa hiyo anaamini watu watampigia kura kwa sababu ya Yanga,Simba pamoja na Taifa Stars
We mnyarwanda tutakufukuza nchiniUnafiki Kwangu ni mwiko kutokana na hii Timu kuwa ni ya Kisiasa zaidi naiombea Mabaya leo na isiende 2025 AFCON.
Shida Kuna watu wamezidi uchawa mpaka kwenye michezo, utaona mabango ya Samia. Mbona anauzika tu mtangazeni Kwa mazuri yakeAmen Rafiki yangu Genta