Wala nisiwe Mnafiki leo ninataka CCM Taifa Stars ifungwe na isishiriki 2025 AFCON na ninajua itakuwa tu AMEN

Ha ha ha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ nilikuwa najua Niko pekee yangu !!UKWELI CCM na ndugu yake polisi ni wauaji ,wananuka Damu za watu na wanalaaana .SIWAPENDI KUTOKA MOYONI
Mnafiki mkubwa Mungu ameamua kutoa ushindi Kwa TZ kukukomoa wewe mnafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…