Wale amabo wana "Pride" na Weusi wao, Utanzania, Uafrika, Uswahili yani "Nationalist": tujuane hapa kwani nahisi nipo peke yangu Tanzania nzima

Wale amabo wana "Pride" na Weusi wao, Utanzania, Uafrika, Uswahili yani "Nationalist": tujuane hapa kwani nahisi nipo peke yangu Tanzania nzima

Hisha Sorel

Senior Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
192
Reaction score
140
Yani ukipita instagram, kila mtu anauza dawa za kuchubua ngozi ili "kutakatisha ngozi"

Muda huo huo tunasikia watu fulani wanasafilisha dada zetu kunyanyaswa nje ya nchi!!

Tunasikia, ndani ya lugha ya kiswahili, ngozi ngeni zikisifiwa: "flani flani ana mzuri kweli kwani ana-asili ya kihindi"

Tunasikia ubaguzi wa wazawa kwenye mahoteli: Mfano ni hoteli inayotaka mtu a-"book" akiwa Italia tu!!!

Tunasikia upigaji wa wazawa makazini, upigaji wa wadada zetu kwenye majumba ya watu flani.

Nyumba za Taifa kuishi tabaka flani tu!!

why hakuna Tanzanian Nationalists, Black Nationalist

south Afrika wa EFF, INDIA wana RSS, America wa the tea party, England wa EDL !!!

Afrika hakuna vijana wakeleketwa!?

nini kifanyike ili kusukuma mhamuko wa kisiasa unaolenga kulinda na kunyanyua vijana weusi wawe proud na ardhi na ngozi zao, ili wazipiganie?
 
Kwetu tatizo kubwa siyo ubaguzi, tamaduni au rangi no UMASIKINI.

Na Tanzania kundi gaidi lililopora keki ya Taifa ni CCM.

Kwahiyo vyama vya Upinzani na kila Mzalendo ndio anatakiwa kufanya kazi hiyo.
 
Kwetu tatizo kubwa siyo ubaguzi, tamaduni au rangi no UMASIKINI.

Na Tanzania kundi gaidi lililopora keki ya Taifa ni CCM.

Kwahiyo vyama vya Upinzani na kila Mzalendo ndio anatakiwa kufanya kazi hiyo.
sikubali kabisa: CCM, Chadema, au ACT wote mnabaguliwa.

ni vigumu kwa mtu kuona hili swala ila lipo wazi kabisa:

ukiangalia mitaa wanaokaa watu fulani, au jinsi watu fulani (hata kama wakiwa masiki wanavyo dili na vyombo vya dola): no tofauti kabisa na mtu mweusi

nimeona video ya mzungu anampiga mwafrika, na baada ya hapo anapakiwa kwenye siti ya mbele,

Tatizo lipo ndugu, na sisi hatulijui
 
Mkuu tuanze sisi wengine watafuata, vijana wengi maslahi yanawasumbua sana mwanzo wanajifanya wazalendo lakini ulaji kidogo tu kimya. Case study :: Slow slow
 
Mimi..nilikua miongoni mwa wanaopenda Kutumia vicream.cream kidogo ninga'ae ng'ae..
Saiv naona ni ujinga..TU napenda Ngozi yangu nyeusi Natumia vipodozi vya kulinda na kufanya weusi Wangu uwe amazing...

Unakuta mdada kajichubua Hadi unauliza Ana shida gani? Miguu Mweusi uso nusu Mweusi...vidole sugu..na ndevu juu..

Jipende na kujithamini Wewe..Kwanza..
usikeshe Kutafuta outside validation...
Niwe Kama Fulani wa ilani..

Be you
 
Mh hv unaanzaje kuharibu rangi yako ya asili Tena jaman.....! Tujifunze kuridhika jmn binafsi hamna rangi nayoipenda km HV nilivyo mweusi.
 
Back
Top Bottom