Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
hahahah ista babe hivi unajua kuwa hakuna jezi ya pogba inayomtosha kibonge.....zote huwa ni size ya kati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shunie rapa huyo wako og yupo bonge cheusi mangala insta babe
Ambao hatujawahi kuvunja amri hiyo na hatutarajii kuivunja tunakomenti wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zipo bwana ujue zipo kila size wewe tu na size yakohahahah ista babe hivi unajua kuwa hakuna jezi ya pogba inayomtosha kibonge.....zote huwa ni size ya kati [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah ila size yako ni same size na anayovaa pogba ..... alafu insta babe we jiite kibonge tuuu ukishaupata ukibonge ndio utajuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zipo bwana ujue zipo kila size wewe tu na size yako
Hapana bwana ya kwangu ndogo ya pogbahahahah ila size yako ni same size na anayovaa pogba ..... alafu insta babe we jiite kibonge tuuu ukishaupata ukibonge ndio utajuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wewe hii sired haikuhusu kabisaaMammae nilivunja tarehe 1 kwenye mkesha wa kuukaribisha mwaka, je naruhusiwa kusubscribe hii sridi?[emoji56][emoji56][emoji56]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah mnapata tabu sana naonaga wenzako wanashindia maji ya uvuguvugu na supu ya cabage ili tu wapungue [emoji23][emoji23]Hapana bwana ya kwangu ndogo ya pogba
Hahhahaha insta baby huo ubonge uje tu kwakweli
mwezi dume huu mzee babuUnakwama wapi mzee baba
Hahhahah ulivyosema supu ya cabage umenikumbusha nina rafiki yangu akiona kanenepa kidogo tu ndio diet yake hiyo anatembea nayo tu ukifika mda wake anakula nacheka sanahahahah mnapata tabu sana naonaga wenzako wanashindia maji ya uvuguvugu na supu ya cabage ili tu wapungue [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha....kuna mmoja tupo naye job naye ndio maisha yake hayo asubuhi hadi jioni yy ni maji ya uvuguvugu na supu ya cabage... wanawake kweli mnapata tabu [emoji23][emoji23][emoji23]Hahhahah ulivyosema supu ya cabage umenikumbusha nina rafiki yangu akiona kanenepa kidogo tu ndio diet yake hiyo anatembea nayo tu ukifika mda wake anakula nacheka sana
Hahahhaha unene mbaya mpaka tumbo linanenepa acha kabisahahahaha....kuna mmoja tupo naye job naye ndio maisha yake hayo asubuhi hadi jioni yy ni maji ya uvuguvugu na supu ya cabage... wanawake kweli mnapata tabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaah... alafu insta bebe ndio ukawa unajiita kibonge shauri yako utaupata kweli uanze kula supu ya cabage [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhaha unene mbaya mpaka tumbo linanenepa acha kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitailaje mm cabage yenyewe inapita na nyamahahahaah... alafu insta bebe ndio ukawa unajiita kibonge shauri yako utaupata kweli uanze kula supu ya cabage [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitailaje mm cabage yenyewe inapita na nyama
Yaan cabage bila nyama siwezi kabisa huo ubonge ushindwe si eti insta baby