Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

Kuwa single sio sifa ni upweke wa hali ya juu, nyie ndiyo watu hatari duniani huwa mnaji murder sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Aa wapi hakuna kuji murder wala nn ninavyopenda kuishi hivi aaaa a wapi mkuu labda wengine sio Mimi

Yani nijiue alafu vyakula vizuri vizuri niviache,niache maembe,na madiko diko a wapi


Naenjoy huwezi amini najilia mafenesi naongeza shavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…