Wale ambao hatukufika chuo tubadilishane changamoto tunazopitia.

Wale ambao hatukufika chuo tubadilishane changamoto tunazopitia.

Fisher_8

Member
Joined
Jul 26, 2019
Posts
80
Reaction score
225
Heri ya siku ya Baba yetu wa taifa wanaJF

Vipi pale umemaliza shule O-level/advance then umefeli.
Wenzio wanaenda/wapo/wamemaliza chuo. Unajisikiaje?

Au unajisikiaje pale unaulizwa na manzi chuo ulisomea nini? Daah ni swali jepesi lakini ni gumu sana kujibu.
Embu tubadilishane uzoefu wakuu.
 
Pambana utafute connection ili usionekane total looser
 
Huko chuoni unadhani kuna jipya basi...we tafuta tu pesa mkuu
 
Kama umefanikiwa kiuchumi nadhani hutojiskia vibaya kwa namna yoyote ile.

Tatizo ni pale ulifeli shule na bado wanarudi mtaani wanakukuta una hali mbaya kiuchumi.
 
Sema wadau boom ni tamu...
Hata kama wanadai vibaya lakini ni tamu sana aiseeh
 
Mie sina changamoto,wenye changamoto niwale walioenda chuo alafu mimi nikazama kitaa....ile paaap!...wamemaliza chuo wanakuja kunionyesha vyeti vyao niwape ajira
 
Back
Top Bottom