Yani skutaka kukumbuka..
Nlikua nakatongoza kademu flani hv kalikua ni kakiranja chamto nlikua nakiona asee. Kila alhamisi lazma kaje mstari nlio simama kunikagua afu kananitoa mbele kwani shati chafu, kaptura ya khaki lakin ilikua nyekundu soksi za pundamilia chafu hadi nimegeuza ndani nje nje ndani.. Uku kale kangoma ka "kama mchafuu pitaa mbelee" πππππ.. bas nlikua nanuna sku hiyo hata begi simbebei na viaz simnunulii saa nne hahaha duuh asee nimekumbk mbali sana teh teh...