Wale ambao upepo wa kisulisuli umetuponya tukutane hapa

Eng Kahigwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
783
Reaction score
631
Ebwana jana nimesubiri kwa hamu sana upepo unipitie ila kwa bahati mbaya mpaka nikasubiri mpaka jioni sijaona upepo kunipitia wala nini. Sasa wadau kuna mtu yeyote ambaye amepitiwa na upepo na kumpeleka mlima wa moto. Na ulifanikiwa kupata mzigo?
Nilikuwa zangu Kimara, ghafla upepo wa kisulisuli ukanibeba na kujikuta kwenye kisiwa cha Ukerewe nikiwa na wavuvi.
 
nipe maana ya upepo wa kisulisuli tafadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…