Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo simcard ikifa au simu ikipotea ndio utakua mwisho kutumia hiyo.lineMimi nilikuwa miongoni mwa watu ambao nichukulia poa zoezi la kisajili laini kwa alama za vidole nikajua tz ndo zetu huwa mambo hayaishi na ni kweli mapka leo laini yangu inapiga mzigo mwanzo mwenga. Je wewe uzimiwa au inapiga mzigo
TCRA wanasema VAA BARAKOAKwani TCRA wanasemaje
Hao unaochapa nao kazi mtapotezana utakosa pesaC nanunua nyingine au vp ila kwa sasa inachapa kazi
Hapo ndo tatizo lilipo mimi ndo mana niligoma kama mbwai mbwai. Na hadi sasa inaendelea kuchapa kaziBinafsi zote hazijafungiwa natamba!
Kuna watu wanatuogopa na hawatuwezi sisi ndo nchi wengine wananchi..😂
Waliofungiwa kama nawaona vile mmevimba mashavu😜
Na wengine mmesajili majina si yenu jitu linamindevu na kitambi bila kusahau kipara lkn utakuta jina la usajili linaitwa AMINA S.KIDEBE!!
Watakuja wanawake tu ila wanaume hawaji.Wale mliosajili line kwa majina yasio yenu tena jinsia tofauti mkuje huku