Ila uzuri ni kuwa ukienda kusajili leo leo basi inafunguliwa,kwa hyo kilichozuiwa ni mtu kuwa hewani wakati namba yake haijasajiliws kwa alama za vidole,ils zoezi la usajili ni endelevu kabisa
safuher ok sawa nilihisi labda wamefunga kwa mikoa cos mi mwenyewe sina kitambulisho wala namba ya NIDA, ndiyo kwanza nilienda alhamis last week kujiandikisha.