Wale mliofanikisha interview ya kwanza mkatoboa written na oral na placement karibuni hapa

Wale mliofanikisha interview ya kwanza mkatoboa written na oral na placement karibuni hapa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Nimefungua uzi huu kwa ajili ya kupata shuhuda za wale waliofanikiwa kutoboa kwenye interview ya kwanza tu hapo PRSR. Watie moyo watu ambao wameonekana kukata tamaa!! Waeleze walijiandaaje hata kufanikisha zoezi la kupata ajira/placement kwenye jaribio lao la kwanza tu!!

Karibuni!
 
Mfumo wa maswali unajikita kwenye nini hasa ..

Module za chuo tulizosoma kutokana na kozi ?
 
Kwa sasa naona mfumo PRSR mitihani ya written mingi ipo katika multiple choice ( Maswali ya kuchagua) hakikisha unapitia kila kitu maana watu ni wengi hivyo competition ni kubwa sana Usiache kumtanguliza Mungu jibu maswali kwa Usahihi. Ukifanikiwa kuingia Oral huwa wanatoa dakika kumi hadi 15 za kujibu maswali yote waliyo yaandaa jibu kwa confidence, Usiwe na Uoga jibu maswali vizuri zingatia mda waliokupa kila swali huwa ni dakika 2 hadi 3 vaa vizuri.. Bahati nayo inasaidia Mi nashukuru ilikuwa interview yangu ya kwanza na ndio hio hio hadi kufanikiwa kupata kazi. All the Best wakuu karibuni kwenye utumishi wa Umma.
 
Kwa sasa naona mfumo PRSR mitihani ya written mingi ipo katika multiple choice ( Maswali ya kuchagua) hakikisha unapitia kila kitu maana watu ni wengi hivyo competition ni kubwa sana Usiache kumtanguliza Mungu jibu maswali kwa Usahihi. Ukifanikiwa kuingia Oral huwa wanatoa dakika kumi hadi 15 za kujibu maswali yote waliyo yaandaa jibu kwa confidence, Usiwe na Uoga jibu maswali vizuri zingatia mda waliokupa kila swali huwa ni dakika 2 hadi 3 vaa vizuri.. Bahati nayo inasaidia Mi nashukuru ilikuwa interview yangu ya kwanza na ndio hio hio hadi kufanikiwa kupata kazi. All the Best wakuu karibuni kwenye utumishi wa Umma.
Hongera sana!! Ni lini hiyo mkuu?
 
Back
Top Bottom