Wale mliosoma twisheni ya Math pale Mchikichini mnamkumbuka huyu?

Wale mliosoma twisheni ya Math pale Mchikichini mnamkumbuka huyu?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mwamba alitisha sana pale mchiki-down kwenye namba. Mnamkumbuka?
IMG_4998.jpeg
 
Wakuitwa Hidden Agenda property a.k.mkali wa namba yupo pale michiki down tangu miaka ya 1995
Michikichini kuna walimu wametoa vijana wengi Sana...
1.Sureboy mkali wa chemistry
2.Wakujiita Sir Mgote...
3.Moody mnyama physics
4.Mkanda boy(Mkandawile)
5.Dah kuna mwamba mmoja nimesahau jina alikuwa mkali wa biology badae akawa anafundisha Loyola high school
Kiufupi michikichini lilikuwa kusanyiko la wanafunzi mikoa yote shule zilipokuwa zinafungwa
 
Wakuitwa Hidden Agenda property a.k.mkali wa namba yupo pale michiki down tangu miaka ya 1995
Michikichini kuna walimu wametoa vijana wengi Sana...
1.Sureboy mkali wa chemistry
2.Wakujiita Sir Mgote...
3.Moody mnyama physics
4.Mkanda boy(Mkandawile)
5.Dah kuna mwamba mmoja nimesahau jina alikuwa mkali wa biology badae akawa anafundisha Loyola high school
Kiufupi michikichini lilikuwa kusanyiko la wanafunzi mikoa yote shule zilipokuwa zinafungwa
Mkali wa Biology alikua Mbuga huyo
 
Wakuitwa Hidden Agenda property a.k.mkali wa namba yupo pale michiki down tangu miaka ya 1995
Michikichini kuna walimu wametoa vijana wengi Sana...
1.Sureboy mkali wa chemistry
2.Wakujiita Sir Mgote...
3.Moody mnyama physics
4.Mkanda boy(Mkandawile)
5.Dah kuna mwamba mmoja nimesahau jina alikuwa mkali wa biology badae akawa anafundisha Loyola high school
Kiufupi michikichini lilikuwa kusanyiko la wanafunzi mikoa yote shule zilipokuwa zinafungwa
Mudy physics mwenyez mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amiin,...
Uyo wa bio utakua unamzungumzia mbuga pia alikua akifundisha na chemisty,
Wadau wengi sana apo down town miaka hiyo kina pengo wa chemistry,Osama wa physics ,man chipa physics,
Fizo geography..
Kina mwalami math advance,
Jerry chemistry .
Ataly sana Yan Hawa wat wametengeneza watu wengi sana nchi hii mungu awazidishie walipopungukiw.
 
Mwamba alitisha sana pale mchiki-down kwenye namba. Mnamkumbuka?View attachment 3202506
Daah, hawa watu walinisaidia sana wakati nasoma secondary, Mbuga, moody physics na hidden, Mungu awabariki, leo hii nakaribia kufika ngazi ya juu ya taaluma kwa sababu ya hawa watu, najua moody physics ni marehemu, cjui hao wengine bado wanaendelea kupiga mzigo maana ni kitambo sana….Let’s end here at this particular juncture, and tomorrow we shall solve some more questions (In moody’s voice).
 
Daah, hawa watu walinisaidia sana wakati nasoma secondary, Mbuga, moody physics na hidden, Mungu awabariki, leo hii nakaribia kufika ngazi ya juu ya taaluma kwa sababu ya hawa watu, najua moody physics ni marehemu, cjui hao wengine bado wanaendelea kupiga mzigo maana ni kitambo sana….Let’s end here at this particular juncture, and tomorrow we shall solve some more questions (In moody’s voice).
Ongereni kwa kukumbuka walimu wenu wa tuition,nadhani ilikuwa miaka ya 90's hiyo.
 
Back
Top Bottom