Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima game ilikuwa chini ya kiwangoKuna Kapisi Nilikaelewa Sana Ile Siku Kamekubali Kakakataa Kutumia Ndom, Kakanambia Kapo Ok Hivo Kama Nami Nipo Fit Basi Tuchape Game Dah! Nilichapa Japo Kwa Woga
Hata mimi nashangaa kabisa kwamba kuna watu bado wanatumia hizo mambo Ndox!!!!!
Hongera babaNilipiga kama dakika 15 hivi kwa dom,ila sisikii kitu ..nilichokifanya nikaitoa ndom chapu nikaanza nyama kwa nyama ... Hakuchukua dk5 Nikatemeaa zote ... Yote heri now nilimtia mimba saiv naitwa baba ... mtoto anaumri wa miaka 3 cha kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂umechangamkaNilipiga kama dakika 15 hivi kwa dom,ila sisikii kitu ..nilichokifanya nikaitoa ndom chapu nikaanza nyama kwa nyama ... Hakuchukua dk5 Nikatemeaa zote ... Yote heri now nilimtia mimba saiv naitwa baba ... mtoto anaumri wa miaka 3 cha kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaKuna Kapisi Nilikaelewa Sana Ile Siku Kamekubali Kakakataa Kutumia Ndom, Kakanambia Kapo Ok Hivo Kama Nami Nipo Fit Basi Tuchape Game Dah! Nilichapa Japo Kwa Woga
Single Mom wangu ananilalamikia..Me iliwahi kuchanika katikakati ya mchezo
Niliogopa Sana make kale kadem kalikuwa na sifa zote mbaya mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nimekutana na hiyo hali muda si mrefu..Iliwahi nikuta hiyo mkuu nimejipatia mtoto mkali balaa nikachukua room,nikavaa ndom nilipump mpaka dakika mbili sisikii kitu nikaona hapa napoteza muda nikavua chap nakuchomeka tena nikakuta mtoto milio yote yake anaongea hadi kiingereza tulivomaliza akaniambia hivi aliekwambia utoe kondom nani unaniaminije, afu umemwagia ndani nikipata mimba je?maswali yake yalinikata stimu nikaishia hichohicho kimoko..but ni risk kubwa sana kuuza mechi amani ya moyo hamna unaanza kuwaza U.T.I,GONO,PANGUSA N.K[emoji26][emoji26]
using JamiiForums mobile app