Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Sep 18, 2015 #1 Sasa angalieni kiasi cha Sukari inayopatikana ndani ya Vinywaji Mnavyo Kunywa kila Siku haya...kumbuka ni chupa moja tu....kila shule inafaa hii picha iwekwe
Sasa angalieni kiasi cha Sukari inayopatikana ndani ya Vinywaji Mnavyo Kunywa kila Siku haya...kumbuka ni chupa moja tu....kila shule inafaa hii picha iwekwe
Abou Saydou JF-Expert Member Joined Dec 1, 2014 Posts 2,947 Reaction score 2,108 Sep 18, 2015 #2 Maji yanafaa
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Sep 19, 2015 #3 Mwenye Macho Kaona Naamini Utekelezaji Hapo Nguvu Ipo Kwenye Maji Sana MM
SIOMIMI JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 326 Reaction score 66 Sep 19, 2015 #4 Asante sana kwa elimu MziziMkavu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mangungo II JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 18,133 Reaction score 26,766 Sep 19, 2015 #5 Mimi nilishaacha kunywa masodasoda muda sana . Hata sukari ya viwandani situmii. Nimeweka mkazo zaidi kwenye ndizi na miwa bhaaas!,
Mimi nilishaacha kunywa masodasoda muda sana . Hata sukari ya viwandani situmii. Nimeweka mkazo zaidi kwenye ndizi na miwa bhaaas!,
M MgalatiaHalisi Member Joined Jul 21, 2015 Posts 6 Reaction score 2 Sep 19, 2015 #6 Umenena vyema Mzizi Mkavu. Watu hawajielewi.
Dumelang JF-Expert Member Joined Aug 11, 2011 Posts 3,204 Reaction score 5,710 Sep 19, 2015 #7 Nakunywa Coke Zero, hiyo ni katika mazoezi ya kuacha soda kabisa hapo baadae maana kila nikijitahidi niache nashindwa
Nakunywa Coke Zero, hiyo ni katika mazoezi ya kuacha soda kabisa hapo baadae maana kila nikijitahidi niache nashindwa
Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 5,986 Sep 19, 2015 #8 Nakunywaga fanta tu basi.... :A S 41:
Khakha JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 2,981 Reaction score 1,009 Sep 19, 2015 #9 Mwendo wa kuramba asali tu hapa!
mountain JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 757 Reaction score 311 Sep 19, 2015 #10 Miwa malaji mkubwa ... muwa mzima sh mianne tu Huku kijijin kila siku nakula mmoja. Sina kukumbuku Chai inapikwaje maaana nilishasahu
Miwa malaji mkubwa ... muwa mzima sh mianne tu Huku kijijin kila siku nakula mmoja. Sina kukumbuku Chai inapikwaje maaana nilishasahu
KABUGHA JF-Expert Member Joined Aug 28, 2014 Posts 351 Reaction score 999 Sep 19, 2015 #11 Wonderful said: Nakunywaga fanta tu basi.... :A S 41: Click to expand... Fanta ndo zina sukar nying kuliko coke ni kama 12._ mg/100g of solution wakati coca ni 10.3_mg/100mg of solution
Wonderful said: Nakunywaga fanta tu basi.... :A S 41: Click to expand... Fanta ndo zina sukar nying kuliko coke ni kama 12._ mg/100g of solution wakati coca ni 10.3_mg/100mg of solution