Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
- Thread starter
-
- #21
Picha Hamna broo?Hahahah....
I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.
Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa
Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.
Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
Kazeni butiMi nna crew yangu ya wagosi wa kwaya tulikuwa na g
Hustle magilini ila bado hatujatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
UhakikaHip-hop nishafanya Sana mixer kuhudhuria vilinge msasani B club na bado tukafanya project ya rap battle Micasa lounge..hii kitu nakupenda Toka moyoni hip-hop we ndo my dear
Amani sana mwambaNakumbuka hii kitu mie ilinipa sana mademu kipindi hicho daah!!
Yaani ilkua kwanza ni street rap afu kushule shule nikiwa na wana tulikuwa na jina sana! Ila wazazi ndo walikatisha ndoto yangu hasa mama alikuwa hataki kabisa hii kitu hasa baad ya kushtukia kuwa nimeshawabanjua mpka mabinti wa rafiki zake kibao tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha...Hahahah....
I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.
Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa
Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.
Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
Niliangalia mazingira mkuu.
Nimekubaliana na hoja enzi hzo ilikua viazNiliangalia mazingira mkuu.
Kule kwao ukishakuwa mainstream basi pesa inaingia.
Huku kwetu jina kubwa lakini pakavu...afadhali siku hizi wameanza kuingiza pesa.
Rudi enzi za Juma nature...uniambie.
Aah braza 'i was wanted'!Hahahah....
I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.
Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa
Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.
Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
Sawa bwana Rajabu,endelea kupambana utatoboa Mkuu!
Hahahah....
I was wanted to be a Dj' na nilikua naenjoy sana BPM na Scratching nyimbo za Hip Hop.
Kama ningekomaa na area hiyo labda leo ningekua napiga mziki mahali pakubwa
Mtazamo wa watu juu ya kua DJ ulikua mmbaya sana na nilikua bwana mdogo nikaachana na hilo.
Dj Malls Kiss Fm na Dj Mafuvu EA Radio 2009 walinitamanisha sana kurudi
[emoji28][emoji28][emoji91][emoji91]Dah...mie Bado naaso tu....nina mistari ya kinyama.....nimekomaa kwenye game toka 1953 hadi Leo na sitaacha...Kuna siku nitatoboa...one day yes[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikula IVNakumbuka hii kitu mie ilinipa sana mademu kipindi hicho daah!!
Yaani ilkua kwanza ni street rap afu kushule shule nikiwa na wana tulikuwa na jina sana! Ila wazazi ndo walikatisha ndoto yangu hasa mama alikuwa hataki kabisa hii kitu hasa baad ya kushtukia kuwa nimeshawabanjua mpka mabinti wa rafiki zake kibao tu!
Sent using Jamii Forums mobile app