Baba Mama
Senior Member
- Apr 1, 2018
- 107
- 138
Ngoja kwanza nishushe darasa, ili dhamira yetu ieleweke vema zaidi.
'No offence' kwa wanawake wetu wa kibongo. Hakika ni warembo sana kimwili na kitabia.
Lakini kwa mustakabali wa kimaendeleo ya kitaifa, kuna baadhi ya kaka zenu ama wadogo zenu tumeona ni hekima kubwa sana kufanya ile wazungu wanaita 'diversity state' kwa ajili ya kuchochea fikra bora na hatimaye maendeleo ya Taifa.
Tazama mfano wa 'diversity' ya USA na kwa hapa Africa tazama South Africa. Hakika, kuna jambo la kujifunza sana kwenye maendeleo yao kitaifa na mtu mmoja mmoja kwenye hayo mataifa. Hadi hapo nadhani tupo pamoja.
Ukweli, ulio dhahiri ni kwamba fikra zetu wenyewe km watz zimefeli 'big time' katika kila kitu. Sisi wananchi wa kawaida pamoja na viongozi wetu tumekwama kwa kila kitu. Pumzi zimekata kabisa. Hatuna tena mbinu mbadala kwa ajili ya kuendeleza Taifa letu. Sisi maisha yetu yamekuwa 'bora kunakucha'.
Sasa sisi wachache, tumeona kuwa, mbinu mbadala ni kuchanganya 'race' za mataifa mbalimbali ndani ya nchi yetu kwa akili ya kuchochea fikra chanya na maendeleo ya Taifa letu. USA na SA ni case study ya kutosha.
Hivyo basi, kama Ali Kiba alivyoungana na wabongo wenzie kwenye kujenga 'diversity state' nasi tupo nyuma yake tunakuja. Diamond japo kazingua lkn at least kazaa nae sio mbaya sana.
Hivyo, tukutane hapa tupeane mbinu mbalimbali za hapa na pale kwa ajili ya ku win situations katika dhamira hii.
Kipekee, naomba kumwalika member mwenzetu Sky Eclat kwa ajili mchango wake wa experience za hapa na pale.
Ladies and gentlemen karibuni sana tukomboe Taifa letu.
'No offence' kwa wanawake wetu wa kibongo. Hakika ni warembo sana kimwili na kitabia.
Lakini kwa mustakabali wa kimaendeleo ya kitaifa, kuna baadhi ya kaka zenu ama wadogo zenu tumeona ni hekima kubwa sana kufanya ile wazungu wanaita 'diversity state' kwa ajili ya kuchochea fikra bora na hatimaye maendeleo ya Taifa.
Tazama mfano wa 'diversity' ya USA na kwa hapa Africa tazama South Africa. Hakika, kuna jambo la kujifunza sana kwenye maendeleo yao kitaifa na mtu mmoja mmoja kwenye hayo mataifa. Hadi hapo nadhani tupo pamoja.
Ukweli, ulio dhahiri ni kwamba fikra zetu wenyewe km watz zimefeli 'big time' katika kila kitu. Sisi wananchi wa kawaida pamoja na viongozi wetu tumekwama kwa kila kitu. Pumzi zimekata kabisa. Hatuna tena mbinu mbadala kwa ajili ya kuendeleza Taifa letu. Sisi maisha yetu yamekuwa 'bora kunakucha'.
Sasa sisi wachache, tumeona kuwa, mbinu mbadala ni kuchanganya 'race' za mataifa mbalimbali ndani ya nchi yetu kwa akili ya kuchochea fikra chanya na maendeleo ya Taifa letu. USA na SA ni case study ya kutosha.
Hivyo basi, kama Ali Kiba alivyoungana na wabongo wenzie kwenye kujenga 'diversity state' nasi tupo nyuma yake tunakuja. Diamond japo kazingua lkn at least kazaa nae sio mbaya sana.
Hivyo, tukutane hapa tupeane mbinu mbalimbali za hapa na pale kwa ajili ya ku win situations katika dhamira hii.
Kipekee, naomba kumwalika member mwenzetu Sky Eclat kwa ajili mchango wake wa experience za hapa na pale.
Ladies and gentlemen karibuni sana tukomboe Taifa letu.