kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,933
Ukweli mchungu Ila ndio ukweli huo km umezoea kutumia jf auna tofaut na teja maana kila siku,Saa mda wote unapokamata simu unataka ujue kuna nini? Jukwaani,Imefikia stage mpaka mitandao mingine ya kijamii nimetupa kule nimepakiza JF tu. Salute kwa JF kwa kunifanya teja,