Wale tuliobarikiwa kipaji cha kuhisi harufu ya pesaa hata kama zimefichwa ardhini tukutane hapa

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
Kiukweli nashukuru sana pua yangu huwa inanusa pesaa hata kama zimefichwa wapi.

Huwa napata sana shida nikipita maeneo ya benki maana harufu ya pesaa za benki mnajua kama umeshawahi nusa pesaa zilizotoka [emoji763] ATM zinavyonukia sasa hiyo ndo harufu ya pesaa.

Mtaani mtu akipita na pesaa kuanzia laki 5 pua yangu mm huhisi wingi wa harufu ya pesaa hizo.

Hata nikiingia ndani kama kuna pesa kama za Dr shika lazima nijue maana pua yangu ni special kwa kuhisi harufu ya pesaa kama panya wanaotumika kutengua mabomuu .
 
Meme Pesa Nanusa Kidogo But Harufu Nyingine Dah Zote Naona Kama Nimesusiwa Mimi Pua Zangu Hata Harufu ya Bikra inazijua
 
unanusa tu lakini huzimiliki
unanikumbusha wale wa ugali na tupicha twa samaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…