Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Oct 6, 2018 #1 kwa wale tunaokaa maghetoni.. tukutane hapa tupeane changamoto zilivyo ugumu wa hapa na pale nk..... "mchizi kichizi "
kwa wale tunaokaa maghetoni.. tukutane hapa tupeane changamoto zilivyo ugumu wa hapa na pale nk..... "mchizi kichizi "
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Joined Jul 27, 2017 Posts 9,758 Reaction score 18,431 Oct 6, 2018 #2 Sipo gheto tena ila back 2009s ngoma ilikuwa ratiba ya kula. Asubuhi na usiku tu, mchana nilikuwa siujui kabisa. Ila watoto wazuri ilikuwa ratiba daily kama mkaguzi wa hesabu za wadada kitaa
Sipo gheto tena ila back 2009s ngoma ilikuwa ratiba ya kula. Asubuhi na usiku tu, mchana nilikuwa siujui kabisa. Ila watoto wazuri ilikuwa ratiba daily kama mkaguzi wa hesabu za wadada kitaa
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Oct 6, 2018 Thread starter #3 Mgeni wa Jiji said: Sipo gheto tena ila back 2009s ngoma ilikuwa ratiba ya kula. Asubuhi na usiku tu, mchana nilikuwa siujui kabisa. Ila watoto wazuri ilikuwa ratiba daily kama mkaguzi wa hesabu za wadada kitaa Click to expand... Noma sana mkuu.. macute ndo kuwadufkurunumbu ndo zetu... Me asubuhi napiga makavu.. nakula mchana na jioni muda mwengne nakulaga kwa madem tuu
Mgeni wa Jiji said: Sipo gheto tena ila back 2009s ngoma ilikuwa ratiba ya kula. Asubuhi na usiku tu, mchana nilikuwa siujui kabisa. Ila watoto wazuri ilikuwa ratiba daily kama mkaguzi wa hesabu za wadada kitaa Click to expand... Noma sana mkuu.. macute ndo kuwadufkurunumbu ndo zetu... Me asubuhi napiga makavu.. nakula mchana na jioni muda mwengne nakulaga kwa madem tuu
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Joined Jul 27, 2017 Posts 9,758 Reaction score 18,431 Oct 6, 2018 #4 pancho baby boy said: Noma sana mkuu.. macute ndo kuwadufkurunumbu ndo zetu... Me asubuhi napiga makavu.. nakula mchana na jioni muda mwengne nakulaga kwa madem tuu Click to expand... Haha, Gheto ni mahali pa ajabu sana
pancho baby boy said: Noma sana mkuu.. macute ndo kuwadufkurunumbu ndo zetu... Me asubuhi napiga makavu.. nakula mchana na jioni muda mwengne nakulaga kwa madem tuu Click to expand... Haha, Gheto ni mahali pa ajabu sana