Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
AMINAAisee nimezaliwa maisha hayo kabsa. Nashukuru mungu watoto wangu imekuwa kama hadithi tu kwao, pamoja na hivyo nimemis magheto hayo huku mkinalala vijana kama 11 chumba cha vumbi, kunguguni humo humo viroboto humo, utatiri wa kuku lakn unapita hata miaka 10 bila homa mungu fundi.
Kwahiyo nyumba za bati hazifai kwa wafugajiKwa wafugaji ni nzuri,nyumba za bati wakija waizi mvua ikinyesha,imekula kwako
Zinafaa, ila kwa vijana wanaolinda bomaKwahiyo nyumba za bati hazifai kwa wafugaji
Kwa nini unasema sungula badala ya sungura?😎I miss those days, vijana wa 1990 na kuendelea hawawezi kuelewa raha ya kulala humo, nasikitika vijana wangu imekuwa kama story ya sungula na fisi.
Asante kwa marekebisho, naona uzee umeshafika.Kwa nini unasema sungula badala ya sungura?😎
Ahaaaa okZinafaa, ila kwa vijana wanaolinda boma