Wale Tuliopita JKT tukutane hapa

Atomic orbital

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
374
Reaction score
484
Kitu gani huwezi kusahau katika maisha ya JKT
Changer yako pendwa wakati wote
Unamkumbuka saameja wako wa kombania

Naipenda sana kombania yangu wale A coy B coy na danger aloo ilikuwa high morali
 
Somebody aanzishe uzi wa UZI MAALUMU KWA AJILI YA VITIMBWI NA VITUKO VYA TEACHING PRACTICE (Field) hasa siku ya assessment!!!!

Kuna mmoja alitoa leso mfukoni ajifutie jasho usoni, badala ajifute jasho akajikita anafuta ubao!!!😂😂😂
 
Doso lilikuwa limekolea kijana alikuwa ametingwa
 
 

Ungeanzisha tu mkuu, mbona ulishaanza kutoa dondoo!!!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nilikuwa D coy Danger coy


Chanja yangu pendwa

Siwela weeh amba siwele weeh aambaa sina mwingine ..mwinginee eeeh mwingine hapo naiimba navuta hisia demu wangu niliyemuacha mtaani

Na ile ya gangamale..jeshi gangamale jeshi eeh jeshi


Nilikuwa napenda ulinzi sana wa anga maana nilikuwa muhangushiaji na kiswahili cha dar mtoto wa manzese nikapata wana ma service man hapo bado mi kuruta kubast kwa sana maana mesi jikoni kuna wana

Nakumbuka kudoji poroni na kuvuta bangi
 
Mlinzi wa anga unabust na akati hufanyi kazi ngumu [emoji75]
 
Nilikuwa Mlale Jkt 842KJ 2015 Op kikwete hahah chenja ya bakabaka mpaka kuipata imepelekea masela kutoroka.

Nilijifunza kutokukata tamaa kuwa jasiri na kuishi kiujanja kwa kuvunja Sheria na kuwa responsible ukikamatwa umevunja sheria Ila niliteseka sababu sikuwa na hela,ukiwa na hela popote unaishi kama mfalme.
 
Kuna mda nikikaa huwa nakumbuka Yale maisha na kuyatamani
 
Kuna mda nikikaa huwa nakumbuka Yale maisha na kuyatamani
Mkuu sijawahi yatamani coz nilikaa kule nikadata matokeo yametoka nimeisahau F6 index number yangu nakumbuka ya wa nyuma yangu nadhani ni yangu kapata div2 kurudi nyumbani wananipongeza nimepata div 1 wananikumbusha niliwaachia namba yangu ya mtihani nilifurahi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…