jamanShule inawatoto legelege kama mlenda
Sio mlenda tyuu..legelege kama ukiusimamisha uzi wa viatu ama wa kushonea nguoShule inawatoto legelege kama mlenda
Ndio mbiti..unadhani uongo...watoto wa ile shule wako ivo..labda sasa kama wamebadilikajaman
[emoji23][emoji23][emoji23]Sio mlenda tyuu..legelege kama ukiusimamisha uzi wa viatu ama wa kushonea nguo
hhaaaahhahaha labda miaka hiiNdio mbiti..unadhani uongo...watoto wa ile shule wako ivo..labda sasa kama wamebadilika
Huwezi tofautisha yupi me yupi ke..hadi uangalie uniform
Uzi wa kishambaHabarini wakuu!
Kwa wale wote waliobahatika kupiga shule ya pandahill apa mdio mahali pake sema lolote na nn unakumbuka na mwalimu gani huto weza kuja kumsahau mfano mm siwezi kuja kumsahau ticha flani anaitwa BOCHU aisee ingawa mm nimesoma advance 2014 ndio nimemaliza uyo jamaa alikuwa anafundisha olevel
Aya wale wa PASEC!!!!
Ungekua wa kishamba usingeufufua uzi wa tangu 2018 hukoUzi wa kishamba