Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Debe tupu hilo
Ok, ahsante. Shida watu wanataka mpaka wajue ni sehemu gani nafanya kazi na ni manager shirika gani[emoji23][emoji23][emoji23], na ndio maana wanasema ni uongo, anyway!
 
Woooow! Hongera kaka.

"Hakuna uganga wala uchawi kwenye nyumba ya Israel".
 
Duh! Usilolijua... Malizia. Ningetaka kuwa tapeli mbona ningetapeli wengi mno tena watu wazito?

Pia ningekuwa na tamaa ningepiga madili mengi mno, hebu imagine nimeshawahi kukacha dili la 80M!

Sihitaji ku-prove kwa yeyote, nawa-inspire wahusika wasikate tamaa kupitia hii historia yangu.
 
Perspection uliyotumia kujenga hoja ku justify umaskin ulikuwa nao back in days haina uhalisia kwa mfano unasema ulishindwa kutembelea kumbi za starehe siku za mwisho wa juma sababu hukuwa na pesa kwenda club sio hitaji muhim kukosa kwenda club haimaniishi ww maskin kuna watu wana pesa and they had never visit huko inshu ya madem pia haina uhalisia kupiga pass ndefu ndo maisha ya wanachuo walio wengi pia dhana ya kutusua ni pana zaidi hapo unaposema ww umetusua kwa mwenzio ni umaskin wa kutupwa
Ila nilichojifunza maskin wengi huzaa watoto wengi some body to test the null of this hypothical idea
 
Inspiration.
 
Sijali sana ukakasi uliopo kuhusu story zako lakini achana na kitu kinaitwa umaskini, kisikie hivyo hivyo tu kaka.Huwezi kuelewa kwa kuigiza,umasikini mbaya sana na hakuna hisia mbaya kama kukosa kula kwa sababu hauna chakula.hata hivyo tupambane tu.Mungu yupo na anajua kila kitu
 
Ni kweli masikini huzaa watoto wengi mno!
 
Nika zani uta elezea ume ikwamua vipi familia yako pia.ila nme ishia kuona tu mshahara jeh kama una utumia wote kufanya vile ulivyo vikosa chuoni
Kitu cha kwanza katika msisha ni kujikwamua binafsi then the next of kin and others.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…