chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Habari wakuu,
I hope mpoo good na mapumziko ya wiki leo ni Jumamosi kwetu tumeamka na mvua ya upepo fulani hivi.
Anyway twende kwenye mada husika hapo juu, moja ya moment nzuri ninazo zikumbuka nikiwa kwenye harakati za kujenga taifa hasa nikiwa na route ya Iringa road kuelekea Mikumi basi ni hili la kula nyama choma maeno ya Melela.
Kwa wanaolijua vizuri eneo hili mtakua mashahidi wale wamasai ni hatari kwenye uchomaji nyama ya mbuzi ki asiri kbsa, je kuna chimbo lingine la uchomaji nyama unalolijua? Share nasi.
I hope mpoo good na mapumziko ya wiki leo ni Jumamosi kwetu tumeamka na mvua ya upepo fulani hivi.
Anyway twende kwenye mada husika hapo juu, moja ya moment nzuri ninazo zikumbuka nikiwa kwenye harakati za kujenga taifa hasa nikiwa na route ya Iringa road kuelekea Mikumi basi ni hili la kula nyama choma maeno ya Melela.
Kwa wanaolijua vizuri eneo hili mtakua mashahidi wale wamasai ni hatari kwenye uchomaji nyama ya mbuzi ki asiri kbsa, je kuna chimbo lingine la uchomaji nyama unalolijua? Share nasi.