Wewe yawezekana huna bikra zote ndo maana unaparamia wanaume,kusoma sana sio ndo unajua kila kitu.Nyie mbona hamsemi mnayowaparamia dada zenu? Ikiwa huna heshima kwa dada wa mwenzio wako ndio utamuacha?
Mnaleta upuuzi wa kudhadhalisha wanawake humu halafu mchekewe tu.Dunning Kruger effectYani maada zote uchangie wewe ni nani?Kwani lazima?Mbona thread zipo nyingi Kutokana na wewe unapenda nini.
Siasa,Afya,Elimu,Mapenzi,Historia,Mziki,Magari,Urembo,Mapishi,Mpira,Udaku,Great thinker n.k.
Wewe ni Hypocrite. Arrogant kikongwe.[emoji36]
Wenzako unawaona taka taka Kwa kujiona umemaliza Kila kitu na kuwaita wajinga na kuji mwambafai kuwa ww pekee ndiye uliye somea maarifa kisa umesomea Canada eeh.
Haya bwana.
Daah nimecheka sana aiseee hiki kisa.....wadada wa kazi wanapitia mapito makubwa sana....tuwaheshimu hawa Dada maana ni msaada mkubwa, nadhani mfanye kama mwanao au ndugu yako wa damu hayo yote hayawezi kutokeaEPISODE 1.
Nakumbuka zamani enzi nasoma secondary,
home kila akiletwa house girl mpya lazima nimnyatie nimle kwa gharama yeyote ile.
Sijuwi sababu ya domo zege au ni nini?
Ilikuwa sipitwi nipo radhi hata nijifiche nyuma ya mlango mradi usiku nimle.
Awe kalala au yupo macho.
Basi kuna kipindi fulani mpangaji wetu alileta house girl mpya kutoka kondoa.
Binti wa kuitwa Mysara,
mtoto wa kisandawe Mysara alikuwa mweupe, .
Mrefu,
Shepu nzuri,
mwenye macho makubwa.
Mysara alikuwa mzuri haswa, alikuwa na umri kama 20 hivi.
Mtoto alikuwa kakamilika kila idara. Alikuwa na sifa zote za kuwa mke wa mtu.
Hakika house girls wa zamani sijuwi siku hizi wamepotelea wapi.
Zamani dada wa kazi ni warembo haswa, halafu wakubwa.
Wanajielewa.
Basi vijana na wazee walikuwa wanafukuzana kumpata Mysara.
Na Mimi nilikuwa kama na umri kama 19 hivi kwa kipindi hicho.
Nikasema kwenye msafara wa mamba na Mimi kenge lazima niwemo.
Ngoja nimuwahi kabla manyang'au hayajanizidi kete.
Mysara alikuwa akilala chumba cha peke yake. So kumnyatia usiku haikuwa issue kubwa.
Kwanza ilibidi kuzoeana na Mysara japo kidogo ili nipate urahisi wa kumpata kiulaini.
Nikaanza kumsomesha kila tukionana ,,
Mara namfata sokoni, akawa anagoma goma.
Siku moja anakwenda dukani, nikamfata tena nikasomesha, Alinielewa kiasi,
Akanambiya "njoo usiku tuongee lakini hatufanyi chochote."
Nikasema ,"powa,"
Nikazama geto kwake mapema kama saa 5 usiku hivi.
Nikaanza kumsomesha mtoto anipe mbunye.
Mtoto hanielewi.
Sijamaliza kumsomesha vizuri, Mara mlango unagongwa,
ikabidi niingie uvunguni mwa kitanda nijifiche kwanza.
Mara kaingia jamaa,
kumbe naye anasomesha apewe mbunye.
Dah! Jamaa kasomesha lakini yule mtoto akawa hamuelewi yule jamaa.
Sasa sijuwi sababu Mimi nipo mle au ni vp?
Lakini namsikia Mysara akimwambiya yule jamaa
."Leo haiwezekani,,""nipo kwenye siku zangu"
Jamaa alizidi kulazimisha apewe mbunye.
Baada ya dk kadhaa ya mabembelezano,
Mara mlango unagongwa tena,
Aliyekuwa anagonga ni jamaa ambaye ndiyo boss wake Mysara.
Sijuwi anafata nn mida hii,
sikupata majibu.
Jamaa aliyekuwa na Mysara baada ya kusikia hodi akakimbilia uvunguni.
Dah!
Kumbe ni baba yngu mdogo ndy aliyekuwa na Mysara akiomba mbunye.
Nilipomuona ni yeye nilitamani kucheka nashindwa,
nikabaki nimeshangaa.
Basi hatukuwa na haja ya kulaumiana au kuulizana chochote tukabaki kimya tu.
Tunatazamana kama majogoo.
Kikapita kimya kidogo hapo chumbani watu kama wananong'onezana.
Kumbe yule boss nae anaomba mbunye kwa Mysara.
Hata sijuwi alitokaje kwa mkewe mida ile saa 6 usiku.
Jamaa naye akaanza kumshikashika Mysara. Mara nipe mbunye. Mara vile,
Mysara akawa anakataa "Hapana namuogopa dada" ",
Dada yako kalala hawezi kuja humu" Boss alisisitiza.
Dah!
Madada wa kazi wanapitia kipindi kigumu sn.
Basi kama dk 10 hivi za boss kuomba mbunye,
mlango unagongwa tena.
Tena safari hii unagongwa kwa nguvu.
"Mysara funguwa mlango"
Alisikika mke wa boss. .
Ghafla boss nae tupo nae chini ya uvungu,
tumejificha.
Kumbe mke wa boss alikuja kutafuta pasi kwa ajili ya kuandaa nguo za kazini.
Nikashangaa muda ule na pasi wapi kwa wapi?
Zote zilikuwa janja janja na wivu tu wa yule mama.
Maana maboss wakiona dada wa kazi kanona hawaishi wivu.
Basi tulijikuta watu watatu chini ya uvungu wa kitanda pamoja na boss wa Mysara bila kupenda.
Hakuna mtu aliyemsemesha mwenzie, ni kimya tu.
Baada ya yule mama kuondoka mle ndani.
Kazi ikawa jinsi gani tutaondoka mle.
Nani ataondoka mwisho mle ndani?
Maana kila mtu aliona atakayebaki mwisho huenda ndy akala mbunye ya Mysara.
Alianza kutoka boss
Akafata Baba mdogo,
Mimi nilitoka mwisho lakini baada ya kusumbuliwa Sana na hawa jamaa nitoke humo ndani.
Kumbe walikuwa wapo uani wahakikishe natoka ndy na wao wakalale.
Kesho yake fully kununiana.
Shikamoo hazikujibiwa miezi 2.
Kuanzia hapo baba mdogo akanipa sifa mbaya ya mtoto mkorofi lakini ukorofi wangu watu hawauoni.
Kama na wewe uliwahi kumla dada wa kazi au kukoswakoswa kudakwa tukutane hapa.
Kujuwa kila kitu ndio huku kuja kudhadhalisha wadada wa kazi?Wewe yawezekana huna bikra zote ndo maana unaparamia wanaume,kusoma sana sio ndo unajua kila kitu.
Acha umalaya,kuna thread humu za vijana wadogo wanarubuniwa na wanawake mabibi kama wewe mbona huchangii maoni yako?Mnaleta upuuzi wa kudhadhalisha wanawake humu halafu mchekewe tu.
Asiyefundishwa na ***** hundisha na ulimwengu. Mtaipata tu, msokuwa na haya watoka pabaya.
Age go acha kutuharibia uzi wetu,wengine hao house girl baada ya kunogewa tumeoa kabisa, tunachofanya ni simulizi tu,pia haya mambo sio kwamba yanatokea kwao tu ila kama hujafanya jambo hili,uzi huu haukufai.kuna jukwaa la kusifu na kuabudu.Kujuwa kila kitu ndio huku kuja kudhadhalisha wadada wa kazi?
Mseme na mnavyoparamiana na dada zenu na mama zenu.Au mshazowea kuwaona mama na dada zenu wakiparamiwa? Kwa hiyo kwenu imekuwa ni kawaida tu, si ndio?
Achana nayo we kunywa chai kalaleAjabu ya hizi shuhuda zenu zote humu, hakuna hata mmoja alietia mimba, Wakati sifa ya mabeki Tatu wengi kuwa vizazi vyao viko karibu, na wala hakuna aliepata magonjwa ya zinaa!. Sijaona aliesema katumia Condom!
Pia ukizingatia kwa maelezo yenu asilimia kubwa mliotoa ushuhuda humu mlikuwa under 15, kwa Maana hamkuwa na elimu ya safe sex
Ina maana Hao mabeki Tatu wote walikuwa Tasa, na walikuwa safe?
Umepiga bonge la tusi hadi mods wameweka nyotanyotaMnaleta upuuzi wa kudhadhalisha wanawake humu halafu mchekewe tu.
Asiyefundishwa na ***** hundisha na ulimwengu. Mtaipata tu, msokuwa na haya watoka pabaya.
Ni kwl mkuu,Daah nimecheka sana aiseee hiki kisa.....wadada wa kazi wanapitia mapito makubwa sana....tuwaheshimu hawa Dada maana ni msaada mkubwa, nadhani mfanye kama mwanao au ndugu yako wa damu hayo yote hayawezi kutokea
Ila mimi sijawahi kupita nao japo kuna Mmoja nilimtamani sana alafu kama alikua ana ntime hivi nijiingize sema utakatifu uliniponzaNi kwl mkuu,
Lakini mdada wa kazi pia ni binadamu,
Akiwa na hamu atakwenda wapi?
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Kama wewe unaliwa na Kaka zako basi unadhani kila mtu ana tabia kama za kwenu?Nyie mbona hamsemi mnayowaparamia dada zenu? Ikiwa huna heshima kwa dada wa mwenzio wako ndio utamuacha?
Aisee naona unamtolea hamuKama wewe unaliwa na Kaka zako basi unadhani kila mtu ana tabia kama za kwenu?
Wacha kuparamia mahusiano kwa nguvu.
Kama joto limezidi kalia hata mswaki wa mti ma**Mae.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mleta mada na yeye pia ni mzazi.Usidhani mzazi ni wewe pekee Yako ndo maana nikakwambia una shida ya kluger effect bila kujijua.Mimi kama mzazi, hao mnaowadhalilisha ingekuwa dada zenu mngekuja kutangaza hapa wanayofanyiwa?
Au nyie ndio mliozoea nyumba ambazo kila mwanamme anaeingia unaambiwa "mwamkie baba'ko".
Ukimchukulia kama ndugu yako wa damu au mwanao huyo ibilisi hawezi kujitokeza na hilo la ataenda wapi nalo halina mashiko kama unamtreat kama mwanao au ndugu yako.... maana kama Baba au Mama utaweka misingi bora ya familia yakoNi kwl mkuu,
Lakini mdada wa kazi pia ni binadamu,
Akiwa na hamu atakwenda wapi?
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Kudhalilisha Wanawake!!Una elewa unacho kiandika au una andika tu kuonesha u much know wako tu.Mnaleta upuuzi wa kudhadhalisha wanawake humu halafu mchekewe tu.
Asiyefundishwa na ***** hundisha na ulimwengu. Mtaipata tu, msokuwa na haya watoka pabaya.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Kama wewe unaliwa na Kaka zako basi unadhani kila mtu ana tabia kama za kwenu?
Wacha kuparamia mahusiano kwa nguvu.
Kama joto limezidi kalia hata mswaki wa mti ma**Mae.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Hakika mkuu,Mleta mada na yeye pia ni mzazi.Usidhani mzazi ni wewe pekee Yako ndo maana nikakwambia una shida ya kluger effect bila kujijua.
Mleta mada alikuwa ana jaribu kukumbushia kipindi kile ni Yuko Kwa wazazi wake nyumbani na maisha ya ma house girl.Sasa wewe Kwa kujiona kwako perfect Sasa kwamba hata ujanani hukufanya chochote,Wewe ilikuwa ni Shule na madrasa TU.Unazingua pakubwa aisee
Mkuu hujawahi ona dada wa kazi kaolewa na boss wake?Ukimchukulia kama ndugu yako wa damu au mwanao huyo ibilisi hawezi kujitokeza na hilo la ataenda wapi nalo halina mashiko kama unamtreat kama mwanao au ndugu yako.... maana kama Baba au Mama utaweka misingi bora ya familia yako