Wale tuliowahi kunyatia Dada wa kazi tukutane hapa

Ngoja Ni Like tu hii story yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hujui kuna baadhi ya makabila ni Marufuku mwanamke kumkatalia Mwanaume
 
Mkuu huenda hii story umetunga Ila inawezekana kuna ukweli kwa mbaaali. Miaka ya 2003, mpwapwa mtaa wa Igovu. Kulikua na familia moja mzazi mmoja Msandawe na mwingine ni mhehe. Beki tatu alikua anaitwa mysara. Na nyumba ile ilikua na watoto wengi kiume. Mimi mwenyewe nilimvizia mysara Ila niligonga mwamba
 
Mkuu wewe sio Baba mdogo kweli?[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza Sana mkuu.

Huyu Bibi FaizaFoxy kashupalia huu Uzi ufungwe sijuwi ana shida gan?

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Shida mnayo ninyi mnaodhalilisha wanawake kwa kuwa tu wana shida zao binafsi na wakatafuta kazi majumbani kwenu. Mamako na dadako wafanyiwe unyama huu utawatangaza?

Nyie ndio wale "Yao wao duu ya wenzao midomo juu".

Uzi kama huu ni wakufungwa tu. Unasaidia au unaifundisha nini jamii?

Hata uhuru wa kupashana habari una mipaka yake kisheria na kibinadam.
 
Huchoki tu haya tumekuskia ondoka kwenye uzi wetu
 
Kajambe mbele huko,,

Ungekuwa ni mwanamke mwenye heshima zake usinge shupaza kuleta mbususu yako ya kizee kwenye uzi wa watu..



Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…