Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Mmh.. ila uwe na pesa ingine ka 25 hivi... just in case.. Maana huo mjengo ni hatari mkuu..Nimeambiwa ni kati ya 74_80milion
Nyumba ni nzuri. jipange tu kwa usimamizi na ufuatiliaji mzuri. Ila tegemea budget kuongezeka kwa kuwa vifaa vimepanda bei sana. Sitashangaa mpaka kuisha kama unavyoitaka ikafika mpaka 100MNimeambiwa ni kati ya 74_80milion
Ntajitahid sana ndugu . asante najua walicho kadiria ni ile kunipa hamasa tu ila lazima ita zidiNyumba ni nzuri. jipange tu kwa usimamizi na ufuatiliaji mzuri. Ila tegemea budget kuongezeka kwa kuwa vifaa vimepanda bei sana. Sitashangaa mpaka kuisha kama unavyoitaka ikafika mpaka 100M
Wanasema asiye kujua akikuona barabarani anakujaji kwa muonekano wako.. ila natamani ungejua maish niliyo kulia nahata sasa una weza niona nina kazania kitu ambacho labda wewe huna ila kumbe wewe una mengi ambayo mimi sina.. mafano hapo una gusia ada za januari wakati mimi naumri huu sina mtoto na sinafuraha kwenye eneo hilo na umri huu.Mwenzetu wewe haupo kwenye mawazo ya tarehe 17 wala kodi...maisha ni vidole hayawezi kufanana...
Akikujibu bila essay niite nije kuona hayo majibu yake.Wanasema asiye kujua akikuona barabarani anakujaji kwa muonekano wako.. ila natamani ungejua maish niliyo kulia nahata sasa una weza niona nina kazania kitu ambacho labda wewe huna ila kumbe wewe una mengi ambayo mimi sina....
Kumeshindika vipi".....ila hatuna mke wala mtoto na kwenye eneo hilo hakukai sawa kabisa kumeshindikana..."
Wanasema asiye kujua akikuona barabarani anakujaji kwa muonekano wako.. ila natamani ungejua maish niliyo kulia nahata sasa una weza niona nina kazania kitu ambacho labda wewe huna ila kumbe wewe una mengi ambayo mimi sina....
Ukishakuwa na plot tu anza jenga mdogo mdogo utashangaa umemaliza tuHaya mzeya endelea kutupa update na sie wengine tupate inspiration. Ila ukihitaji construction materials usinisahau mzeya
Mhm yataka moyo maana sie wengine ukishika million tuu tayari akili inahamia kwenye mbususuUkishakuwa na plot tu anza jenga mdogo mdogo utashangaa umemaliza tu
boma tu itafika hio ila sio na finishing ile ya finalHebu kwa 80m lete mchanganuo maana kuna mdau kaambiwakama hyo sio chini ua 200m
Kazana mkuu ujenzi wa mdomdo ni mzuri utamaliza na utajenga kitu imara na kizuriMimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.
Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi...
Unatoboa bila shaka, tena kwa dar inaweza baki chenjiNimeambiwa ni kati ya 74_80milion
Vyumba vingapi hiiMimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.
Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi...