Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Sure kabisa mwaka jana nilianza ujenzi may by December nyumba ilisha yote kwa 98%Usiogopeshwe na hesabu za humu... We anza tu we anzaa nasemaje we anzaa, kuna watu wanamichango mizuri wengine katisha tamaa tu
Usikute huns hata chumba saizi ya choo seuze kiwanja kabisaWanaojenga hawaongei ila nyie mnaongeja mabanda ya kuku ndo kelele kibao ad mnaanzisha na uzi kabisa
Tafuta pesa kua na pesa kila kitu utakiona cha kawaida nyumba moja unaongea Jf nzima
Nimekua interested mimi pia ni Engineer by proffesion,, naweza kufika site kwako huenda nikakupa moja mbili ukapata kitu,, “just for free”Mimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.
Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi.
Nimepewa number za wasambazaji wa Mchanga nime agiza lori 4.
Nimepita Duka la Hardware nime nunua Nondo za 16mm pc 25.
Jioni hii nimepita Kwa wauza Cement nime lipia mifuko 50 ila itakuwa inaletwa site taratibu kwa itaji la siku la Mafundi maana hawako mbali na site yangu na sina pakuweka.
Kwa sasa Niko mahali na Taka kununua Tank la Majin la simTank la l lita 4000lt.
Siku yangu imeisha kwa-ubize huu...
Vipi wenzangu!?? Mliopanga kuanza ujenzi mwaka huu mna mikakati ya kuanzaje.. ??
Pia naomba Wajenzi wazoefu nishauri chochote hapo.
Site yangu ipo Mbezi Beach ya Salasala Mwisho wa Lami mita 200 tu kutoka Lami ilipo.
Vifaa ni vyakuanzia tu awamu ya kwanza.. Nyumba niliyo ipost hapa chini ndio Ninayo ijenga na hiyo ni moja ya Mchoro wa Actual drawing from Wachoraji.
View attachment 2065228View attachment 2065227
Sijui kama amekushukuruHongera ila hakikisha unapata msimamizi makini mzuri na mwaminifu walau kwa asilimia 86
Mabango na vibali vyote unavyo jamaa wa mtaa watakuhomea mkuuYaan niko Mwenyewe sitoki mpaka hapo nitakapo ishia mwezi mzima niko .. nikuwabana na kunao benet na Mkaguzi wangu Engineer mmbobevu , fundi akizingua na badilisha kila stage maana Muongozo upo wazi anatakiwa afuate kanuni zote na kila bada ya siku mbili Engineer anakuja ku approve go ahead.. aki kuta tatizo fundi ana ishia hapo hapo na mtoa site.
Mkuu acha kutumia maneno makali unamtukanaje mtu hivyo we mama yako hana hizo sehemuI dont care, hivyo ndivyo nilivyo kuta wenyeji wangu wanakuita.. So Upo OP kwa hoja za Uzi huu.. Kama una umia sana kwa Holo Jina Tuna weza pia kupaita Jina l sehemu za siri za Mama yako ili upate kumbukumbu yake ata akisha aga dunia.
Jamani naombeni ushauri wa kuweka mazingira sahii ya floor mpaka kukutana na tiles yaani chini bado sijapafanyia chochote. Sasa fundi ananiambia nitandike zege, kisha rough floor kisha nyingine ndo ije tiles. Sasa mi naona kama gharama zitakuwa kubwa nini kifanyike hapo.
Ahsante sana, wastani mzuri wa zege ni inch ngapi.?Kwa uzoefu wangu mdogo, mwaga zege ila hakikisha tu linakuwa level then zinafata tiles hamna haja ya rough floor.
Mara nyingi rough floor wanaweka watu wanaotaka kuhamia kwa nyumba kabla ya kuwekwa tiles ili kupunguza vumbi la zege.
Mkuu kwa picha ya hiyo ya nyumba mbona naona budget ya 74- 80M ni ndogo!Nimeambiwa ni kati ya 74_80milion