Wale tunaochangia kila mada

Wale tunaochangia kila mada

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Kwa hapa JF huwa kuna utaratibu wa members kuchangia mada inapowekwa hapa Jukwaani.

Majukwaa yapo mengi ukiachana na yale ya kitaalam Kama Sheria , tech na maengine yapo majukwaa ambayo yanahitaji uelewa wa kawaida tu. i.e General Knowledge.

Sasa kuna members ambao ni maarufu huchangia mada katika majukwaa yote na kutaka kauli zao zitafsiriwe kama sheria.

Huwa najiuliza hawa members wana elimu gani maana wana utaalam wa kila jambo.

Au ndio ku-Google sana.

Maana haiwezekani mtu akafahamu kila kitu.

Binafsi nachangia mada kwenye majukwa yale tu ambayo ufahamu wa kawaida unatosha.

Sasa hawa wenzetu wanawezaje.
 
Ndo maana ya kuwepo section ya trending,na new post unachangia tu bila kwenda jukwaa husika.

Tusipangiane wala kuwekeana mipaka ya kucomment inashangaza sana kulalamikia vitu visivyo na malipo
 
Politics is about decision making in groups , individuals and the distribution of resources within society . Hapa ukiingia hakuna jukwaa unaweza kuacha kuchangia.
 
Ndo maana ya kuwepo section ya trending,na new post unachangia tu bila kwenda jukwaa husika.

Tusipangiane wala kuwekeana mipaka ya kucomment inashangaza sana kulalamikia vitu visivyo na malipo
do not take it personal Numbisa
 
Cc wengine ni hasa kwe uzi wetu pendwa wa rick boy......
 
Kwahiyo tuache kuchangia? Sasa tukiacha wewe utapata nini? Hatutumii vifurushi vya kijiji mkuu sasa hiyo nongwa inatoka wapi?
 
Ningeomba mkuu Mello afikirie kuwa na search engine kama ilivyo google. Jf search engine itasaidia sana kutafuta kitu umekisahau au una uhitaji nacho.

Mbona wenzetu wanazo za kwao na zinawasaidia hasa kwenye lugha zao..tuwe na search engine kwa ajili ya kutafuta content zinazojiri ndani ya nchi. Yandex, mail.ru ni mifano tu.
 
Ningeomba mkuu Mello afikirie kuwa na search engine kama ilivyo google. Jf search engine itasaidia sana kutafuta kitu umekisahau au una uhitaji nacho.

Mbona wenzetu wanazo za kwao na zinawasaidia hasa kwenye lugha zao..tuwe na search engine kwa ajili ya kutafuta content zinazojiri ndani ya nchi. Yandex, mail.ru ni mifano tu.
Wazo zuri.
 
Kwahiyo tuache kuchangia? Sasa tukiacha wewe utapata nini? Hatutumii vifurushi vya kijiji mkuu sasa hiyo nongwa inatoka wapi?
Kijijini kwetu huwa tunachangiana bundle tunaingia net kwa zamu.
 
Kuna member yeye kati y mada kumi hakosi kuchangia mada 7 na comment ni fupi tu, kama "watakuja kukupa mwongozo" "binadamu wa siku hizi wabishi sana" "asante kwa taarifa" nk.
 
Ni vyema kujifunza vingi,,,na sio kujua kila kitu..
 
Back
Top Bottom