habari wadau..
najua humu kuna watu wengi wanaofanya biashara...
tukianza na mimi nina biashara ndogo ndogo tatu tofauti... kwa yeyote akisikia ishu asisite kunitafuta...
1. nina workshop ya tshirt printing
2.nina photo studio ya kisasa na tunashoot video za maharusi
3. nina mobile kibanda umiza... sehemu ya kuangalia mpira inayotembea... ambapo tunafungaga sana maeneo yenye watu wengi tukialikwa siku za mechi.. kama vyuoni, kwenye ma camp, mitaani etc.....
najua humu kuna watu wengi wanaofanya biashara...
tukianza na mimi nina biashara ndogo ndogo tatu tofauti... kwa yeyote akisikia ishu asisite kunitafuta...
1. nina workshop ya tshirt printing
2.nina photo studio ya kisasa na tunashoot video za maharusi
3. nina mobile kibanda umiza... sehemu ya kuangalia mpira inayotembea... ambapo tunafungaga sana maeneo yenye watu wengi tukialikwa siku za mechi.. kama vyuoni, kwenye ma camp, mitaani etc.....
