Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
Daaah, huku Sir God abless, huku umetupania wa mtaani tutakukoma. Hivi wafikiri Sir God atabless ututaabishe tulio wengi kweli😁haya maeksipiriensi ninayoyaokota kwenye hili jukwaa abt different motor vehicles,i hope sitokuja kufanya makosa nikija kuamua kutembelea matako kmmmk...😎
sir god abless tuu hizi hustle daaaadeq...mtaani watanikoma maammaeee...
😂😂😂pigia mstari...lzm mteseke...daaaadeqDaaah, huku Sir God abless, huku umetupania wa mtaani tutakukoma. Hivi wafikiri Sir God atabless ututaabishe tulio wengi kweli
Hahaha ukinunua hio gari unatakiwa uwe na nusu ya bei ulionunulia special kwa ajili ya maintanance😁Kuna mwamba mmoja hv mwanangu ana kaford focus kakipaki mwaka wa 3 sasa hvi,ameambiwa sensa ya ufunguo sijui atoe mil 4,hizi gari inaonekana wanatakiwa kuzipush kina Balhabou tu sio wa kipato cha chini kama sisi
Hatari nusu na robo mkuu,wakiambiwa warudi nyumbani toyota kumenoga utasikia ooooh zipo nyingi,mamamae uniqueness ina gharama zakeHahaha ukinunua hio gari unatakiwa uwe na nusu ya bei ulionunulia special kwa ajili ya maintanance😁
Tatizo ya hizo gari hazina sensor za kutoshaMi sitii neno zaidi ya kusema gari ni Lexus kama hutaki Toyota.
Hapa unawakumbusha Watanzania wakumbatie Toyota.
Mzee wa Nonde to the rescue...Natuma parts zote za ford Kama utahitaji nitumie VIN number ya hiyo ford yako harafu nikuambie bei yake nipo SA natuma kwa ndege siku chache tuu unapokea...
DaaaaaahKuna mwamba mmoja hv mwanangu ana kaford focus kakipaki mwaka wa 3 sasa hvi,ameambiwa sensa ya ufunguo sijui atoe mil 4,hizi gari inaonekana wanatakiwa kuzipush kina Balhabou tu sio wa kipato cha chini kama sisi
Balaa mkuuDaaaaaah
Pathethic...!
Air lift suspension kits mkuuIko chini sana ulifanyaje kuiinua kidogo
Wewe umesema mkuu mimi ni nani nikupingeMi sitii neno zaidi ya kusema gari ni Lexus kama hutaki Toyota.
Hahahhah we unataka sensor kila mahala kumbe?Tatizo ya hizo gari hazina sensor za kutosha
Usipojiongeza European makes utaziona chungu. Sensor ya ufunguo ya milioni 4 kwa Ford Focus?Kuna mwamba mmoja hv mwanangu ana kaford focus kakipaki mwaka wa 3 sasa hvi,ameambiwa sensa ya ufunguo sijui atoe mil 4,hizi gari inaonekana wanatakiwa kuzipush kina Balhabou tu sio wa kipato cha chini kama sisi
Ndio jamaaUsipojiongeza European makes utaziona chungu. Sensor ya ufunguo ya milioni 4 kwa Ford Focus?
Ndio mwana hadi leo kakipaki sasa,anaambiwa labda wakakichongeshe huko china na hakitakuwa sawa kama OGUsipojiongeza European makes utaziona chungu. Sensor ya ufunguo ya milioni 4 kwa Ford Focus?
Bob, mwambie jamaa yako ajiongeze. Atafute mwenyewe hiyo sensor kwa maduka ya online. Milioni 4 ni kama £ 1,200; sina uhakika kama kuna sensor ya ufunguo wa Ford Focus yenye bei hiyo.Ndio jamaa
Ndio mwana hadi leo kakipaki sasa,anaambiwa labda wakakichongeshe huko china na hakitakuwa sawa kama OG