Wale tunaomiliki Ford Raptor tukutane hapa

Hizi gari mostly zinatumika kwenye site woek ya migodi edition iyo ya Ford ni zao la South Africa tafuta dealer wa SA utapata maelezo na spare bei cheap..
NB:Sio gari la mjini ilo wala halina maajabu yoyote kwenye city.
 
Kuna mwamba mmoja hv mwanangu ana kaford focus kakipaki mwaka wa 3 sasa hvi,ameambiwa sensa ya ufunguo sijui atoe mil 4,hizi gari inaonekana wanatakiwa kuzipush kina Balhabou tu sio wa kipato cha chini kama sisi
Ford parts zake sio ghari kwa SA zipo za kumwaga mimi nipo na Ford na parts zake nanunua huko na gari ni ngumu sio ya kuharibika hovyo na kila siku ipo road ina nguvu na balance ya kutosha...hiyo focus niliiona moja Arusha wamepaki kwa ishu ndogo tuu sijui Pump...
 
Sasa hiyo hadi leo huyo mmiliki kaipaki,kaenda kwa dealers wameshindwa kumsaidia hadi amelisusa
 
Spare za Mazda Tribute mnazo?
 
Kuna mwamba mmoja hv mwanangu ana kaford focus kakipaki mwaka wa 3 sasa hvi,ameambiwa sensa ya ufunguo sijui atoe mil 4,hizi gari inaonekana wanatakiwa kuzipush kina Balhabou tu sio wa kipato cha chini kama sisi
Eeh itafika muda hata starlet itaheshimiwa😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…