Wale tunaooenda Man Utd afungwe leo, tukutane hapa!

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Leo majira ya saa 1:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, Man Utd itakuwa inaikaribisha Newcastle United katika dimba la Old Trafford.

Mimi siipendi Man Utd na kila inapofungwa huwa nafurahi sana, na sasa hawajapata ushindi katika mechi 4, tunaomba leo wafungwe tena ili wikiend iwe nzuri.

Kama na wewe unapenda ukiona Man Utd wakifyekelewa mbali katibu utie neno lolote.
 
wanashinda 4 wangekuwa wanakutana na team kigongo kama Wolves kweli...leo Morinyo atalimwa card ya njano au nyekundu
 
Nimetengeneza mkeka sasa hao Newcastle wanichanishe waone ili ni mshabiki wa man utd
 
Piga ua lazima washinde morinho hana shida morinho s tatizo tatizo n body
 
Newcastle piga haooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawaonea huruma 2--0 nyumbani hadi sasa Special One Bye Bye
 
Mimi nasubiria zifike tatu bila ili niingie mitaani kushangilia. Sijui ni kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…