Wale tunaoshangilia Cape Verde, huu ni uzi wetu

Wale tunaopenda soka tamu na la kushambulia na lenye matokeo kama wanavyocheza Cape Verde, njooni tukutane hapa.

Leo tuwafunge ngapi hao wenyeji wetu Taifa Stars? Mimi nadhani 2-0 itwatosha, tusidhalilishe wakiwa kwao.

Karibuni...
Mi mtanzania ila nataka leo starz wachezee vizuri tu. Amunike got off the wrong foot kwa kuigawa timu ya taifa. Hakupewa somo mambo ya simba na yanga yalivyo ktk soka letu. Kuwakacha wachezaji wa simba kumeathiri hata mzuka wa baadhi ya mashabiki kwa timu ya taifa kama mimi, wasukumiwe ndani tu maana hamna namna.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu usisahau kuja hapa ddc tupige selfie namm nime shawishika kuvaa uzi wa watu wa kisiwa cha ureno
Hahaha.. Nitapita hapo Mkuu.
 
Hahaha.. Nitapita hapo Mkuu.
Amunike leo atakuwa amulikwe haiwezekani ununue benzi lina full tank afu upaki ukweni ueende na starlet tena ya kuazima
Anakuja kutuambia tumuombee sijui kwenye taifa letu pendwa tutaombea mangapi
 
Mashabiki wenzangu wa Cape Verde..

Je mwajua kua, baada ya ushindi wetu wa leo hapo Taifa Stadium mida ya jioni, tunakata tiketi ya moja kwa moja kwenda kushiriki AFCON, mwakani nchini Kameruni??

Katika kundi letu tutaondoka na Uganda.. Huku Lesotho na hawa tunaowafunga leo wakibaki makwao.
 
Huwezi kusubiri mpaka siku ya Mnada ndo unamlisha ng,ombe ili anone umuuze bei kubwa.
 
Ikumbukwe tunafuzu huku tukiwa na mechi 2 mkononi.. Dhidi ya Lesotho ambayo lazima tuwafunge.. Na 'wenzetu' Uganda ambao hawa tutadroo nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…