Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mibavicha kibao ilikuwa inaombea tupigwe na Cape Verde leo, unajifanya hujui?Sasa umefuatilia mpira habari za Bavicha zimetoka wapi? Hukuwa na namna nyingine ya kuwasema hawa waliokuwa Cape Verde.Sasa najua kwanini FIFA wanakataza Mpira usiingiliwe Kwa namna yeyote ile na maamuzi ya nje ya mpira.Isingekuwa hivyo watu kama nyie mngeharibu mpira maana mngeanza kujimilikisha kichama Timu ya Taifa.Fifa waliona mbali
Hahaha.. Ni kweli Mkuu.. Nifanyaje ili nami niweze kulijua soka kama wewe?? Msaada wako plzzzz.Sembo wewe ni shabiki maandazi, unapensa soka lkn hujui soka.
Vv
Acha dua lako la kuku.Huyu jamaa Bora angetekwa tu
Weka ushabiki pembeni unapozungumzia soka ili uwe objective, kinyume cha hapo chagua kubaki mshabiki na mhamasishaji, masuala ya ufundi usiyazungunzie kabisa.Hahaha.. Ni kweli Mkuu.. Nifanyaje ili nami niweze kulijua soka kama wewe?? Msaada wako plzzzz.
Aisee et kwa kisukumaMm nawacheka kwa kisukmaaa ihiiiiii
Sawa Mkuu.. Naamini nikifuata ushauri huu adhimu ulionipatia nami nitakua mwana soka hasa hasa kama ulivyo wewe.Weka ushabiki pembeni unapozungumzia soka ili uwe objective, kinyume cha hapo chagua kubaki mshabiki na mhamasishaji, masuala ya ufundi usiyazungunzie kabisa.
Vv
We jamaa mkorof sanaLeo imekula kwenu. Eti oh tushangilie Cape Verde dhidi ya Tanzania. Ona sasa.
Ahahaaa kwahiyo umeamua kuunga juhud za nyerere starsMkuu lakini sisi nasi ni Watanzania wenzenu??
Tulikengeuka.. Naomba mtupokee.
Duh iv kweli kumbe wachawi wapo? Wewe ni mchawi na Leo ndo Mara Yangu ya kwanza kuona mchawiKwani mtafuzu basi? Ha ha ha tupo hapa[emoji23][emoji23]
Hahahaaaa bak huko huko tufuzu bhanaUtasababisha nirudi ili msifuzu
Sio lazima uwe na degree kutambua kuna kada wa ufipa kakutelekeza na ujauzito.Mabavicha leo yatalia kweli kweli.
Ndio Mkuu.. Na naamini nimewahi deadline ya kutupokea.Ahahaaa kwahiyo umeamua kuunga juhud za nyerere stars
Aya bhana karibu sana kwa nyerereNdio Mkuu.. Na naamini nimewahi deadline ya kutupokea.
Hujielewi wewe changudoa.Sio lazima uwe na degree kutambua kuna kada wa ufipa kakutelekeza na ujauzito.
Ngoja atekwe tu huyo jamaaDuh iv kweli kumbe wachawi wapo? Wewe ni mchawi na Leo ndo Mara Yangu ya kwanza kuona mchawi
watakuwa wameambiwa Mo atapatikana au icje kuwa wameoneshwa MoStars
Kinyume ni kweliWale tunaopenda soka tamu na la kushambulia na lenye matokeo kama wanavyocheza Cape Verde, njooni tukutane hapa.
Leo tuwafunge ngapi hao wenyeji wetu Taifa Stars? Mimi nadhani 2-0 itwatosha, tusidhalilishe wakiwa kwao.
Karibuni...