Wale tunaoshangilia Cape Verde, huu ni uzi wetu

Wale tunaoshangilia Cape Verde, huu ni uzi wetu

Mashabiki wenzangu wa Cape Verde..

Je mwajua kua, baada ya ushindi wetu wa leo hapo Taifa Stadium mida ya jioni, tunakata tiketi ya moja kwa moja kwenda kushiriki AFCON, mwakani nchini Kameruni??

Katika kundi letu tutaondoka na Uganda.. Huku Lesotho na hawa tunaowafunga leo wakibaki makwao.
Uganda ya Okwi na Juuko inatosha.
 
Ila kusema kweli huyu Amunike amekuja kwa style ya ajabu kwelu yani..

Tukiachilia ushabiki kando jamaa anazingua sana kuhusu baadhi ya wachezaji.

Yani Ajib, Mkude midfield Maestro namba moja TZ unamweka nje, Kichuya mtoto anateleza kama kambale unamwacha nje.

Mechi anachezesha mabeki wakati 3 na FB wapo. Kama vile tumeenda kuzuia hatuna matumaini ya kushinda kabisa.

Beki yenyewe Mwantika na Morris wachovu mbaya. Wakati angeweza kucheza na Yondani na Banda ambao wana shughuli ya kueleweka.

Hajui kuwa mechi inashindiwa katikati ya uwanja? Ukiweza kukamata kiungo ndio umemaliza game. Angalia tulivyoweweseka juzi eneo la kiungo. Hatukuwa na uwezo wa kucheza second balls kabisa kila mpira iwe tuliokoa sisi au wao ulikua unaishia kwa cape verde mids.

Amempanga Mao na Mudhathir ambae hana uzowefo wowote hata kutuliza mipira ikawa kazi. Kocha atie akili.

Huyu kocha sumu za kiyanga alizolishwa zitamtumbua siku za usoni na wataomtumbua ndio hao hao waliomlisha sumu.

Haijui Tanzania huyo mwache atapata akili siku sio nyingi..

Bora kocha mzawa tu hawa wageni waduanzi
 
Ila kusema kweli huyu Amunike amekuja kwa style ya ajabu kwelu yani..

Tukiachilia ushabiki kando jamaa anazingua sana kuhusu baadhi ya wachezaji.

Yani Ajib, Mkude midfield Maestro namba moja TZ unamweka nje, Kichuya mtoto anateleza kama kambale unamwacha nje.

Mechi anachezesha mabeki wakati 3 na FB wapo. Kama vile tumeenda kuzuia hatuna matumaini ya kushinda kabisa.

Beki yenyewe Mwantika na Morris wachovu mbaya. Wakati angeweza kucheza na Yondani na Banda ambao wana shughuli ya kueleweka.

Hajui kuwa mechi inashindiwa katikati ya uwanja? Ukiweza kukamata kiungo ndio umemaliza game. Angalia tulivyoweweseka juzi eneo la kiungo. Hatukuwa na uwezo wa kucheza second balls kabisa kila mpira iwe tuliokoa sisi au wao ulikua unaishia kwa cape verde mids.

Amempanga Mao na Mudhathir ambae hana uzowefo wowote hata kutuliza mipira ikawa kazi. Kocha atie akili.

Huyu kocha sumu za kiyanga alizolishwa zitamtumbua siku za usoni na wataomtumbua ndio hao hao waliomlisha sumu.

Haijui Tanzania huyo mwache atapata akili siku sio nyingi..

Bora kocha mzawa tu hawa wageni waduanzi
Hizi ndo sababu zilizonifanya, mpaka sasa nishatinga uzi wangu wa Cape Verde.. Navuta mda hapa nielekee Taifa Stadium.
 
Huwezi kusubiri mpaka siku ya Mnada ndo unamlisha ng,ombe ili anone umuuze bei kubwa.

Kigezo hiki ndicho kinachofanya watu tuamini kuwa ni lazima tufungwe tu kwani ni kweli hatuna msingi mzuri na hakuna juhudi zozote zinazoonyeshwa kuwa angalao kuna utashi wa kutaka tutoke hapo !
 
Woyooooo team cape Verde hioiooooooo ni mwendo wa kuua nyani bila kumtizama usoni kama huna hela zama hapa chap chukua odds 2+ za cape Verde bureeeeeee
IMG-20181016-WA0009.jpeg
 
Kushabikia Timu ya taifa kwa sasa ni kujitakia matatizo ya Moyo na kuunguruma kwa tumbo. Timu haina mipango yoyote kwenye mashindano yoyote yale.


Cape Verde Goooo acha kwanza sisi tufanye siasa hata katika michezo.
 
Hivi mwanaume ulio kamili una andika uzi kama huu? Unakua against na taifa lako? Unasema taifa stars aijui mpira wakati waliepo uwanjani wanajua mpira kuliko wewe ndo maana wapo pale... hii ndo tofauti kati yetu sisi na wazungu.. team ikifanya vibaya wao uwa wana ungana kufanya isimame tena lakini sisi ikifanya vibaya ndo kwanza tuna ungana kuipoteza... uwenda wachezaji na team sio kichwa cha mwendawazimu bali sisi mashabiki ndo kichwa cha mwendawazimu
 
Mara ngapi mashabiki wameungana ila bado timu inaboronga?

Uzalendo upo ila haulazimishwi.
Hivi mwanaume ulio kamili una andika uzi kama huu? Unakua against na taifa lako? Unasema taifa stars aijui mpira wakati waliepo uwanjani wanajua mpira kuliko wewe ndo maana wapo pale... hii ndo tofauti kati yetu sisi na wazungu.. team ikifanya vibaya wao uwa wana ungana kufanya isimame tena lakini sisi ikifanya vibaya ndo kwanza tuna ungana kuipoteza... uwenda wachezaji na team sio kichwa cha mwendawazimu bali sisi mashabiki ndo kichwa cha mwendawazimu
 
Hivi mwanaume ulio kamili una andika uzi kama huu? Unakua against na taifa lako? Unasema taifa stars aijui mpira wakati waliepo uwanjani wanajua mpira kuliko wewe ndo maana wapo pale... hii ndo tofauti kati yetu sisi na wazungu.. team ikifanya vibaya wao uwa wana ungana kufanya isimame tena lakini sisi ikifanya vibaya ndo kwanza tuna ungana kuipoteza... uwenda wachezaji na team sio kichwa cha mwendawazimu bali sisi mashabiki ndo kichwa cha mwendawazimu
Kwani lazma wote tushabikie ilo timu lenu
 
Back
Top Bottom