Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Baada ya kujuana, tuelezane ni kwa nini which is which. i.e kwanini umependelea kutumia App ama website
Kama ni App utujuze ni old version au Latest version
Binafsi natumia Old Version ya JamiiForums App kwa kuwa haina mambo mengi, haina umbambamba, ina-save time, not complicated.
Kama ni App utujuze ni old version au Latest version
Binafsi natumia Old Version ya JamiiForums App kwa kuwa haina mambo mengi, haina umbambamba, ina-save time, not complicated.