wale wa aquatic and environmetal science

mnoel

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
211
Reaction score
98
members hebu nipeni future ya hiyo coz maana naenda kuisoma then cjui baada ya kusoma ndo ntafanya ki2 gni?
 
Ni elimu ya viumbe na mazingira ya majini, yaani kwenye mito, maziwa na baharini. Hivi siku hizimtu unalazimishwa kusoma fani ambayo huijui wala huna interest nayo? Kama ni hivyo tumekwisha kama taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…