Mstaarabu wa ukwee
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 209
- 137
Mapindi leo yamebebana afu ni final draft,tuna CL 2-3,EC 126 saa 3-4 then at the same time ST 112 2-4,inakuwaje wadau?
Mapindi leo yamebebana afu ni final draft,tuna CL 2-3,EC 126 saa 3-4 then at the same time ST 112 2-4,inakuwaje wadau?
Mapindi leo yamebebana afu ni final draft,tuna CL 2-3,EC 126 saa 3-4 then at the same time ST 112 2-4,inakuwaje wadau?
ni human errors labda
Mapindi leo yamebebana afu ni final draft,tuna CL 2-3,EC 126 saa 3-4 then at the same time ST 112 2-4,inakuwaje wadau?
si ratiba zimeingiliana hapo ,ni makosa madogo tu.nashangaa watu wana complaining sanakwa nini
Kama huyu ndio type ya wanachuo udsm, basi kuna tatizo somewhere.[we type ya chuo gani?
'
Ebu acha kudhalilisha chuo chetu,ina maana umeleta humu jukwaani ndio ili iweje?
Wana-UDSM bana...
mbona wapinzani wenu udom wanapiga buku kimya kimya?
wapinzani wa udsm ni makerere,nairobi na vyuo kama cape town na cairo,ila udom ni level ya saut na mzumbe!
wapinzani wa udsm ni makerere,nairobi na vyuo kama cape town na cairo,ila udom ni level ya saut na mzumbe!