Wale wa CAS njooni tujadili hapa maana hili goli la Morrison kwa nini limekubaliwa!

Wale wa CAS njooni tujadili hapa maana hili goli la Morrison kwa nini limekubaliwa!

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Haya haya amkeni kuna goli la utata huku linawekwa kambani na yule yule.

Kusema kweli TFF inatuonea sana kwa nini inakubali magoli kama haya?Sie tumekosa nini jamani!??Kwa nini mwamuzi hajatoa kadi kwa lile goli?Waamuzi wawe fair jamani sasa timu yetu sijui hawataki tupate ubingwa?!!Ina maana wao hawaumii na hii hali?
 
[emoji3][emoji3]
IMG_20210529_200815.jpg
 
Kwani Morisson mwenyewe anasemaje.
 
Back
Top Bottom