Wale wa Dom mwishoni mwa miaka ya 90

chaArusha

Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
88
Reaction score
31
Kulikuwaga na ushindani mkubwa sana wa mpira wa miguu kwa shule za sekondari. Nakumbuka timu ya Jamhuri ilikuwaga ndiyo best, ikichukua ubingwa kutoka shule ya sekondari ya Mazengo uwanjani kwao. Hivi wale vijana wa shule enzi hizo pamoja na wale wa shule za Central na Dom Sec waliishiaga wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…