Wale wa EPL tabiri top 4 mapema ukianza na bingwa

1. Man U
2. Man City
3. Chelsea
4. Liverpool
5. Arsenal.

Naomba hii comment ihifadhiwe vichwani mwenu.
 
1. Man U
2. Man City
3. Chelsea
4. Liverpool
5. Arsenal.

Naomba hii comment ihifadhiwe vichwani mwenu.
Yaani niumize kichwa kuhifadhi ubingwa wa man u?! Man u hii hii ya Maguire?

Na baada ya kuvuliwa badge kaapa kuwa ata 'give his all'... Kwahiyo Onana ataokota mipira kambani mpaka achanganyikiwe
 
Naona kama hamna hisia na Tottenham kabisa
 
1- Man U
2- Arsenal
3- Man City
4- Newcastle united

N.B Liverpool watakuwa wa 6/7!
Chelsea watakuwa wa 14/15
Wewe dogo na mdomo wako mchafu nilishakutambua Kama ni nyumbu since day one
 
Mi nachojua liva tupo top four mengine nawaachia wengine
 
1. Chelsea
2. Man City
3. Liverpool
4. Man Utd

Kwa kawaida huu msimu unaokuja watu wengi wataibeza Chelsea kutokana namna mambo yalivyokuwa msimu uliopita. Lakini pia unaweza kuwa msimu mzuri kwa coach Pochettino kwa sababu ana uzoefu na EPL. Sababu nyingine pia msimu ujao Chelsea hatakua na mechi za UCL au Europa kwa hiyo focus yake inaweza baki kwenye EPL pekee na ndio kitu kiliwaondoa Arsenal kwenye mbio za ubingwa mwaka jana walishindwa ku prioritize washike lipi. Chelsea akishindwa kubeba basi anashika nafasi ya pili. Maoni yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…